Anayeshtakiwa kumuua Mkewe adai haogopi Kunyongwa

Anayeshtakiwa kumuua Mkewe adai haogopi Kunyongwa

Mpo kwenye ndoa ndo mnashtuka hamuendani wote kambale mnawafata viongoz wa dini ili kila mtu abebe kipande chake cha mbao hawaelewi wanawaambia jahazi ili mpaka mfike nalo kisiwa cha ahadi wazazi nao badala ya kusuruhisha na kukemea maovu wanatetea upande wa watoto wao .kijana ukiona ndoa inakupa presha baada ya furaha ivunje mapema sana kuepusha fedheha
VERI TRUU
 
Amepata faida gani akiwa msumbufu kuua Sio jibu unakaa nae mbali,shida ya mbali unawaharibu watoto kisaikolojia haina tofaut na talaka
Anachokataa hakuua kwa makusudi.Na alimchoma kuepuka kujulikana.
 
Ukute magunia yalikuaga ndani muda mrefu,na mkewe ndiye alinunuaga.Jamaa kaelezea kua aliua bila kukusudia.Kitendo cha kumchoma ilikua ni kuficha ushahidi.
 
Tatizo mali.Mtuhumiwa na marehemu watakua walikua wanawazia ugawanywaji wa mali.Inauma mnagawana mali pasu kwa pasu,halafu mwanaume mwingine anaenda kuzitumia.
Na hii ndio sababu kubwa iliyokuwa inamfanya Bw. Hamis amvumilie mke wake na vituko vyote alivyokuwa akimfanyia. What happened the rest anajua mtuhumiwa Kama kweli alimua kwa bahati mbaya au alikusudia ili kulinda kile alichokichuma maisha yake yote na mkewe Naomi😊
 
hii kesi anatoboa kwa manslaughter, hata akipigwa murder high court, court of appeal anaweza kushushiwa hadi manslaughter. kwa picha tu ya maelezo, inaonyesha hivyo.
 
Hakuna cha balaa hapa sweetheart, jamaa ameshakili na haogopi kunyongwa kama alivyosema mbele ya mahakama. Anachotaka anyongwe huku imma ukijua kuwa hakuuwa kwa kukusudia😊
Umenikumbusha ex wangu alikuwa ananiita hivyo siku zote...😁😁😁😁
Sasa SI wamnyonge tu wanasubiri Nini?
 
Umenikumbusha ex wangu alikuwa ananiita hivyo siku zote...😁😁😁😁
Sasa SI wamnyonge tu wanasubiri Nini?
Haha so far so sweet of you... for the time being jimbo lipo wazi?😜
No katika ulimwengu wa kisheria mambo hayaendi hivyo sweetheart. Misingi ya kisheria lazima ifuatwe mpaka mahakama itakapothibitisha kuwa KOSA LILIFANYIKA KWA KUKUSUDIA AU KWAKUTOKUSUDIA (Huu ndio msingi mkuu wa case Sasa)
Case isingekuwa kuwa na process ndefu kama angekiri tu na kutulia maanaake hatua ambayo ingefuata Ni HUKUMU tu. Nadhani umenielewa😊
 
Natabiri Huyu atanyingwa mpaka mpaka kufa. Tena anabahati sana Tz kwa muda hawanyongi ila tendo amelifanya nilakinyama kiasi dam ya mke wake ilimtesa mpaka akaamua kujisema mwenyewe. Kuuwa pasipo kukusudia kuna jinsi ya ku detect siwezi andika hapa kwa sababu za kiusalama. Ila huyu hata jela yake itakuwa ngumu sana.
Hivi mkuu kichwa yako hua ipo sawa kabisa?
You soo paranoid, sasa sababu za kiusalama zinahusiana vipi na wewe kusema namna ya kujua mauaji yalikua ya kukusudia ama laa?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Kwani wangetengana ingekuwaje? Haya ni matokeo ya kung'ang'ana na ndoa wakati dau limeshakwenda mrama.

Piga talaka uende na shughuli zako na yeye aende na zake. Jina lake linaonyesha ni muislamu au ameritadi kumfuata mwanamke?

Samahani lakini huyo mwanaume kukaa mpaka akavutwa hayo madude au kupigwa mbele ya mama na yeye bado amebaki anachekelea tu bila kuchukua hatua, mbona naona haina muelekeo?
Hatua si ndio hio inayotufanya uzi unatembea na pgs kiabao
 
View attachment 2677118

MFANYABIASHARA Khamis Luwonga (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa, amedai haogopi kunyongwa hadi kufa wala adhabu nyingine yoyote.

Hata hivyo, mshtakiwa huyo amedai kuwa anataka "anyongwe kwa haki" kwamba aliua bila kukusudia.

Katika kesi hiyo ya mauaji Na. 4 ya mwaka 2019, mshitakiwa Luwonga ambaye ni mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam, anadaiwa kuwa Mei 15, 2019, akiwa Gezaulole, Kigamboni, alimuua Naomi Marijani.

Luwonga alidai hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Ramadhani Rugemalira wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dares Salaam baada ya kusomewa maelezo ya mashihidi 28 na vielelezo 14 na upande wa mashitaka.

"Kitu ambacho ninakikataa mheshimiwa hakimu, ni kuwa niliua kwa makusudi. Mimi sikuua kwa makusudi. Hata ninyongwe leo hadi kufa kwa kile cha kweli, nitaangamia kimwili lakini siyo kiroho.

"Siogopi kunyongwa wala siogopi adhabu yoyote ile, lakini ninataka kama nikinyongwa, basi ninyongwe kwa haki kwamba niliua bila kukusudia, kwa sababu ni ajali tu ilitokea," alidai Luwonga.

Hapo Hakim Rugemalira akaingilia akisema: "Unaanza kuhubiri sasa, wewe zungumza unachotaka kuzungumza ili nikiandike kwenye rekodi za mahakama."

Luwonga aliendelea kudai kuwa msingi wa kesi hiyo ni maelezo yake, baada ya kuwaambia polisi kwamba yeye ndiye aliyeua na ndiye aliyekuwa anajitumia ujumbe mfupi kutoka simu ya mkewe kwenda katika simu yake.

"Kama shetani angeendelea kunishikilia hadi leo hi, hakuna mtu angejua kitu nimefanya, lakini roho mtakatifu alinishukia na nilikuwa na sukumwa kusema ukweli. Kwa sababu nilikaa miezi miwili na siku moja bila ukweli kujulikana, hadi sasa Naomi asingejulikana yuko wapi.

"Kutokana na hofu ya Mungu, niliamua kusema ukwell sio kwa sababu nilipata mateso kutoka kwa askari polisi, hapana! Ni mimi mwenyewe niliamua," alidai Luwonga.

Mshtakiwa huyo pia aliiomba mahakama kuwa pindi kesi itakapoanza kusikilizwa, Mahakama Kuu ihamie sehemu ya tukio nyumbani kwake, ili wane mashimo sita aliyoyachimba katika nyumba zake sita na nyumba ya kulala wageni kwa ajili ya maji taka. Alidai kuwa lengo la mahakama kwenda eneo hilo ni ili ione mashimo yaliyochimbwa yalikuwa ni ya maji taka na sio kwa ajili ya kumzika mkewe, kwa sababu yeye ndiye alitaka kwa ajili ya maji machafu.

Ni madai yaliyomfanya hakimu aingilie, akisema: "Sasa mshitakiwa huko unapokwenda ni kwenye ushahidi. Hayo utayazungumza huko Mahakama Kuu katika ushahidi wako."

Mshitakiwa Luwonga alidai: "Mheshimiwa ninaomba ufahamu jambo moja; hawa mawakili wangu nimewaomba wanitetee kwa haki na siyo kupindishapindisha mambo kwa sababu mimi ndiye niliamua mwenyewe kuzungumza ukweli," alidai Luwonga.

Alidai hayo baada ya wakili wake, Mohamed Majaliwa kumtaka aache kuzungumza. Wakili huyo alimtaka wazungumze kwanza wao kabla ya yeye kuendelea kuzungumza mbele ya hakimu.

"Ninawaomba mawakili wa serikali, mnipelekee taarifa zangu kwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) kwamba aharakishe kesi hi lishe haraka kwa sababu hata Rais na jamii kwa ujumla wanataka kujua mwisho wake kwa sababu kesi yangu hii ilitikisa chi.

"Ninataka kesi hii iwe fundisho kwa watu wengi, kwa sababu tulifanya uzembe mkubwa sana sisi wanandoa na jamii pia ilifanya uzembe hadi mauaji yakatokea, alidai Luwonga.

Baada ya mshitakiwa kudai hivyo, Hakimu Rugemalira alimweleza kwamba hakuna kesi kubwa. Zote zinalingana na hakuna kesi inayotikisa chi, hivyo hata kesi inayomkabili "sio konki" kama alivyodai. Mshitakiwa huyo alidai atakuwa na mashahidi 20 na atakuwa na vielelezo wakati shahidi unaendelea. Atavitoa mwenyewe au mashahidi wake watakuja navyo mahakamani.

"Una haki zako za msingi za kupewa wakili na kupewa orodha ya mashahidi, kama utahitaji na mawakili wako hawa wawapo, hilo ni jukumu lako wewe. Kwa hiyo, unahamishiwa kwenda Mahakama Kuu," alisema Hakimu Rugemalira.

Luwonga anadaiwa kumuua mke wake Naomi kisha kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa na baadaye alichukua majivu ya mwili wa marehemu na kwenda kuyafukia shambani kwake Mkuranga mkoani Pwani.

===

Kwanza nianze kuwapongeza wanandoa mliopo mkoa wa Da resalaam. Maana Kwa mujibu wa msajili wa taraka kutoka Nida mkoa unao ongoza Kwa taraka nyingi ni mkoa wa dare salaam.

Ndugu zangu GAZETI la nipashe la Tarehe 3/07/2023 limeandika habari ya Mauaji ya Naomi vizur sana Kona ya habari za mahakamani. GAZETI limeripoti yakuwa Mwanaume aliyemuua Naomi Kisha kumchoma moto alimchoma Kwa magunja mawili ya mkaa.

Pili kichwa Cha mkewe kiliwai sana kuungua maana alikuwa anakigeuza. Tatu amedai Tako lilikuwa na mafuta mengi. Nne sehemu za Siri za Naomi zlikuwa na mafuta. Tano matiti pia yalikuwa na mafuta.

Sehemu zote zilizokuwa na mafuta zilichelewa kuungua ila zilisaidia moto kukolea.

Zingatio;
Mshitakiwa anadai alikuwa na mgogoro wa ndoa na mke wake takribani miaka miwili hawakushirki tendo la ndoa,na Kila mmoja alikuwa analala chumba chake.

Ilifikia hatua Kila mmoja akawa anatoka na kulala nje ya ndoa PASIPO kuulizana au kuagana.

Naomi aliwai kumkata mmewe Kwa kisu na mme alishafika polisi mara kadhaa KULALAMIKA lakini polisi walimfukuza Kwa kumwambia atoke hapo huyo ni mkewe wao hawaingilii ndoa za watu.

Naomi aliwai mvuta mmewe sehemu Siri Tena Kwa nguvu mbele ya mama yake na mwanaume.

Naomi aliwai mpiga mmewe na ndoo ya chooni.

Mara ya mwisho jamaa akirudi kwake asubuhi na kukuta Naomi anamwandaa mtoto aende shule, jamaa aliweka simu yake mezani ilipoita Naomi akaishika na kumpelekea mmewe ukubakimwambia pokea simu za Malaya wako.

Mwishowe wakaanza kugombana Naomi akakimbilia kushika uboo na PUMBU zake Kwa nguvu,mume nae kujiami akampushi, puuuuuu! Laalura! Naomi akadondokea ukuta wa bafu na kudodondekea kichwa na kufa pale pale baada ya damu nyingi kuvujia kichwani.

Baada ya kifo mume akawaza akazike apo apo?itakuwa shida,apeleke Mwili shambani akazike, akaogopa Trafiki, mwishowe akaamua kuuchoma Mwili Ili akazike majibu ya Mwili huo shambank kwake.

ujumbe ndoa kama za Naomi na mwenzake ziko ngapi Kwa Sasa?

Je, kama polisi wetu wangeingilia kati haya yote yangetokea?

Ndoa sio msaafu shekhe!.
Nahisi jamaa ameshachanganyikiwa huyu. Maana nimeshindwa kabisa kuelewa.
 
View attachment 2677118

MFANYABIASHARA Khamis Luwonga (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa, amedai haogopi kunyongwa hadi kufa wala adhabu nyingine yoyote.

Hata hivyo, mshtakiwa huyo amedai kuwa anataka "anyongwe kwa haki" kwamba aliua bila kukusudia.

Katika kesi hiyo ya mauaji Na. 4 ya mwaka 2019, mshitakiwa Luwonga ambaye ni mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam, anadaiwa kuwa Mei 15, 2019, akiwa Gezaulole, Kigamboni, alimuua Naomi Marijani.

Luwonga alidai hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Ramadhani Rugemalira wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dares Salaam baada ya kusomewa maelezo ya mashihidi 28 na vielelezo 14 na upande wa mashitaka.

"Kitu ambacho ninakikataa mheshimiwa hakimu, ni kuwa niliua kwa makusudi. Mimi sikuua kwa makusudi. Hata ninyongwe leo hadi kufa kwa kile cha kweli, nitaangamia kimwili lakini siyo kiroho.

"Siogopi kunyongwa wala siogopi adhabu yoyote ile, lakini ninataka kama nikinyongwa, basi ninyongwe kwa haki kwamba niliua bila kukusudia, kwa sababu ni ajali tu ilitokea," alidai Luwonga.

Hapo Hakim Rugemalira akaingilia akisema: "Unaanza kuhubiri sasa, wewe zungumza unachotaka kuzungumza ili nikiandike kwenye rekodi za mahakama."

Luwonga aliendelea kudai kuwa msingi wa kesi hiyo ni maelezo yake, baada ya kuwaambia polisi kwamba yeye ndiye aliyeua na ndiye aliyekuwa anajitumia ujumbe mfupi kutoka simu ya mkewe kwenda katika simu yake.

"Kama shetani angeendelea kunishikilia hadi leo hi, hakuna mtu angejua kitu nimefanya, lakini roho mtakatifu alinishukia na nilikuwa na sukumwa kusema ukweli. Kwa sababu nilikaa miezi miwili na siku moja bila ukweli kujulikana, hadi sasa Naomi asingejulikana yuko wapi.

"Kutokana na hofu ya Mungu, niliamua kusema ukwell sio kwa sababu nilipata mateso kutoka kwa askari polisi, hapana! Ni mimi mwenyewe niliamua," alidai Luwonga.

Mshtakiwa huyo pia aliiomba mahakama kuwa pindi kesi itakapoanza kusikilizwa, Mahakama Kuu ihamie sehemu ya tukio nyumbani kwake, ili wane mashimo sita aliyoyachimba katika nyumba zake sita na nyumba ya kulala wageni kwa ajili ya maji taka. Alidai kuwa lengo la mahakama kwenda eneo hilo ni ili ione mashimo yaliyochimbwa yalikuwa ni ya maji taka na sio kwa ajili ya kumzika mkewe, kwa sababu yeye ndiye alitaka kwa ajili ya maji machafu.

Ni madai yaliyomfanya hakimu aingilie, akisema: "Sasa mshitakiwa huko unapokwenda ni kwenye ushahidi. Hayo utayazungumza huko Mahakama Kuu katika ushahidi wako."

Mshitakiwa Luwonga alidai: "Mheshimiwa ninaomba ufahamu jambo moja; hawa mawakili wangu nimewaomba wanitetee kwa haki na siyo kupindishapindisha mambo kwa sababu mimi ndiye niliamua mwenyewe kuzungumza ukweli," alidai Luwonga.

Alidai hayo baada ya wakili wake, Mohamed Majaliwa kumtaka aache kuzungumza. Wakili huyo alimtaka wazungumze kwanza wao kabla ya yeye kuendelea kuzungumza mbele ya hakimu.

"Ninawaomba mawakili wa serikali, mnipelekee taarifa zangu kwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) kwamba aharakishe kesi hi lishe haraka kwa sababu hata Rais na jamii kwa ujumla wanataka kujua mwisho wake kwa sababu kesi yangu hii ilitikisa chi.

"Ninataka kesi hii iwe fundisho kwa watu wengi, kwa sababu tulifanya uzembe mkubwa sana sisi wanandoa na jamii pia ilifanya uzembe hadi mauaji yakatokea, alidai Luwonga.

Baada ya mshitakiwa kudai hivyo, Hakimu Rugemalira alimweleza kwamba hakuna kesi kubwa. Zote zinalingana na hakuna kesi inayotikisa chi, hivyo hata kesi inayomkabili "sio konki" kama alivyodai. Mshitakiwa huyo alidai atakuwa na mashahidi 20 na atakuwa na vielelezo wakati shahidi unaendelea. Atavitoa mwenyewe au mashahidi wake watakuja navyo mahakamani.

"Una haki zako za msingi za kupewa wakili na kupewa orodha ya mashahidi, kama utahitaji na mawakili wako hawa wawapo, hilo ni jukumu lako wewe. Kwa hiyo, unahamishiwa kwenda Mahakama Kuu," alisema Hakimu Rugemalira.

Luwonga anadaiwa kumuua mke wake Naomi kisha kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa na baadaye alichukua majivu ya mwili wa marehemu na kwenda kuyafukia shambani kwake Mkuranga mkoani Pwani.

===

Kwanza nianze kuwapongeza wanandoa mliopo mkoa wa Da resalaam. Maana Kwa mujibu wa msajili wa taraka kutoka Nida mkoa unao ongoza Kwa taraka nyingi ni mkoa wa dare salaam.

Ndugu zangu GAZETI la nipashe la Tarehe 3/07/2023 limeandika habari ya Mauaji ya Naomi vizur sana Kona ya habari za mahakamani. GAZETI limeripoti yakuwa Mwanaume aliyemuua Naomi Kisha kumchoma moto alimchoma Kwa magunja mawili ya mkaa.

Pili kichwa Cha mkewe kiliwai sana kuungua maana alikuwa anakigeuza. Tatu amedai Tako lilikuwa na mafuta mengi. Nne sehemu za Siri za Naomi zlikuwa na mafuta. Tano matiti pia yalikuwa na mafuta.

Sehemu zote zilizokuwa na mafuta zilichelewa kuungua ila zilisaidia moto kukolea.

Zingatio;
Mshitakiwa anadai alikuwa na mgogoro wa ndoa na mke wake takribani miaka miwili hawakushirki tendo la ndoa,na Kila mmoja alikuwa analala chumba chake.

Ilifikia hatua Kila mmoja akawa anatoka na kulala nje ya ndoa PASIPO kuulizana au kuagana.

Naomi aliwai kumkata mmewe Kwa kisu na mme alishafika polisi mara kadhaa KULALAMIKA lakini polisi walimfukuza Kwa kumwambia atoke hapo huyo ni mkewe wao hawaingilii ndoa za watu.

Naomi aliwai mvuta mmewe sehemu Siri Tena Kwa nguvu mbele ya mama yake na mwanaume.

Naomi aliwai mpiga mmewe na ndoo ya chooni.

Mara ya mwisho jamaa akirudi kwake asubuhi na kukuta Naomi anamwandaa mtoto aende shule, jamaa aliweka simu yake mezani ilipoita Naomi akaishika na kumpelekea mmewe ukubakimwambia pokea simu za Malaya wako.

Mwishowe wakaanza kugombana Naomi akakimbilia kushika uboo na PUMBU zake Kwa nguvu,mume nae kujiami akampushi, puuuuuu! Laalura! Naomi akadondokea ukuta wa bafu na kudodondekea kichwa na kufa pale pale baada ya damu nyingi kuvujia kichwani.

Baada ya kifo mume akawaza akazike apo apo?itakuwa shida,apeleke Mwili shambani akazike, akaogopa Trafiki, mwishowe akaamua kuuchoma Mwili Ili akazike majibu ya Mwili huo shambank kwake.

ujumbe ndoa kama za Naomi na mwenzake ziko ngapi Kwa Sasa?

Je, kama polisi wetu wangeingilia kati haya yote yangetokea?

Ndoa sio msaafu shekhe!.
Nachopendea ndoa ni Kujambiana usiku, hadi kukicha pua zinekuwa kama babalevo kudadeki.
 
Hatia haikwepeki hata akiachiwa huru ataweka wapi uso wapi kwa jamii,ndugu,nk mbaya zaidi kwa watoto kwamba baba ndie aliyemuua mama, huwezi tenganisha bond ya mtoto na mama hata mama awe mbaya vipi hakuna mama mbaya kwa mtoto ni sawa na hakuna mtoto mbaya kwa mama sababu ya ule muunganiko kupitia kitovu.
Sio wote wana bond kiasi hicho. Ebu soma hapa
• Rukilwa alisema kuwa hakudhamiria kumuua mume wake, kwani wakikuwa wanang'ang'ania shoka na mumewe akajikata kichwa kwa shoka hilo.

• Hata baada ya kutoka jela baada ya miaka 24, watoto wake wote walimkataa wakiaminishwa kuwa alimuua baba yao kwa kupenda.
• Rukilwa alisema kuwa hakudhamiria kumuua mume wake, kwani wakikuwa wanang'ang'ania shoka na mumewe akajikata kichwa kwa shoka hilo.

• Hata baada ya kutoka jela baada ya miaka 24, watoto wake wote walimkataa wakiaminishwa kuwa alimuua baba yao kwa kupenda.
 
Back
Top Bottom