njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Pata za moto moto kutoka kwa Njaa kalihatari, nilikugusia in advance kusajiliwa kwa Junior Lokosa na kocha Da Rosa
Sasa napenda kukutaarifu kwamba anayetambulishwa ni jamaa refu namba tano la team ya taifa ya Zimbabwe la klabu ya Highlanders iliyotolewa huko Cameroon kwenye CHAN linaitwa Peter Muduhwa.
Karibu sana Msimbazi.
Sasa napenda kukutaarifu kwamba anayetambulishwa ni jamaa refu namba tano la team ya taifa ya Zimbabwe la klabu ya Highlanders iliyotolewa huko Cameroon kwenye CHAN linaitwa Peter Muduhwa.
Karibu sana Msimbazi.