Anayetishia Ujio wa Lissu Tanzania ajulikana. Ni Afisa wa Polisi wa Kike Julius Nyerere International Airport (JNIA)

No time to worry.
Mungu wetu atamshughulikia huyo Askari.
 
Mnangojeaga mpaka mtu afe ndo muanze kujifanya mnashughurika
 
Huyo dada inawezekana ameongea hayo kishabiki tu, yuko upande wa wale wanaomlipa mshahara, hilo suala la yeye kusema akirudi tunaye, kwangu naona ni mihemko yake tu..

Unless otherwise, kama ikigeuka kuwa kweli hapo ndipo nitaamini alitumwa, naandika hivi kwasababu..

Nimeona Chadema wanalalamika kule twitter kuna watu wameandaliwa kuwafanyia vurugu kwenye mikutano yao itakapoanza, wanadai watu hao watavalishwa sare za chama chao, nasubiri kuona kama na hili litatokea niunganishe dots..
 
Kwani wewe ndugu yangu umetafsiri nini, "Akirudi tunaye". Maana naona mjadala tu. #Feisal Salumu akirudi Yanga tunae. Atafunga magoli. Atacheza vizuri...!Shida juu ya nini hapo?🙏🙏🙏
 
Lisu auawe kwa lipi?

Nitajie watu 3 wa Magufuli ambao ni wakali sana toka msiba wake utokee ambao ni tishio kwa Samia.

Alafu rais ni mtu mwenye nguvu sana hapa nchini, kufikiri anawaogopa wafuasi wa Magufuli ni kujilisha upepo!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nawasubiri kwenye mikutano nione kitatokea nini?

Hawa chadema ni bure kabisa. Walivyokuwa wanabweka juu ya mikutano nikitegemea muda huu kila kona kumechachamaa kwa ajili ya hiyo mikutano yao
 
This is a very important observation! Erythrocyte take note of this. Msidharau haya mambo. Huyu kuna mtu amemtuma kuwa na ujasiri wa kusema hayo aliyoyaandika.
Huna HOJA wewe!!

Kama unahofia maisha Yako usilale USINGIZI usiku,

Kulala usiku na ukaamka salama ni Muujiza mkubwa Mungu hufanya Kila siku Kwa WANADAMU.

Narudia kusema, Hakuna mwovu awezaye rudia mpango Ule Ule ulofail mara ya pili,

Wewe ni mmoja wa wasiojulikana, unahofia kuwekwa behind bars.
 
Tunaye' yaweza kuwa tutakuwa naye kumlinda' ama TUunaye kwa sababu ya.. atakamatwa ana kesi ya kujibu" Tunaye, inawakilisha sauti yaa na tarifa kutokea somewhere ama maelekezo kutoka sehemu na kupewa ifanyiwe kazi na jopo laa'

Lakini akisema ninaye,,, hapo twaweza kuwa na maswali mengi"
 
Duuh Vyombo vya Dola msipuuzie ujumbe huu. Huyo mtu kama kweli ni halisi ashughulikiwem

Huyo mtu kama kweli ni Polisi basi ni mtu hatari sana.

Ni mtu hatari kwa sababu anataka kuichonganisha Ikulu ya Rais Samia na watanzania.

Kwamba TL au mtanzania mwingine akidhulika lawama ziende kwa Rais na Serikali nzima.

Sidhani kama hili ni jambo la kuchukulia poa
 
Hahahahaha acheni utoto, ofisa wa Polisi wa Kike Airport amtishe TL aka Lissu labda kama wana issur binafsi.
 
Kwahiyo ulitarajia ACT ichukue jimbo moja tu kati ya majimbo zaidi ya 20 ya uchaguzi yaliyoporwa?
 
Kumbe uko hivyo, my list goes on, the next block!
 
inamana wanaye yeye na kikundi chake maalum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…