Anayetishia Ujio wa Lissu Tanzania ajulikana. Ni Afisa wa Polisi wa Kike Julius Nyerere International Airport (JNIA)

Kama alivyouawa Jiwe ili kuirudisha nchi katika amani na sasa watu wanaishi kwa raha, waliolia walilia yakaisha.
[emoji23][emoji23][emoji23]Dogo wanaoishi kwa raha hii nchi ni tabaka dogo sana liko pale juu,

Wewe na ukoo wako mnaishi kwa shida sana! Na wala jiwe hajawahi kusababisha muishi kwa tabu namna hiyo!

Kama unabisha kwamba mnaishi kwa tabu, kacheki hali ya bimkubwako kule kijijini alafu jitafakari!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vichekesho vingine! Kwa hiyo hao uliowataja ndio watu wa Magu wanaompa presha bi mkubwa?

Magufuli hakuteuliwa sababu ya kuwaogopa wapinzani! Ila aliteuliwa ili kuwazima kina Lowasa waliokuwa hawatakiwi basi!

Na hiyo 2015 si huwa mnadai mlishinda alafu kaporwa?

Nchi hii rais ndio kila kitu ndio maana nakushangaa unaposema hao kina mpina ndio tishio kwa huyu bibi
 
Ni vizuri kujua muktadha mzima wa hayo mawasiliano, wakati mwingine watu humo kwenye magroup huweza kuongea mambo kimzaha mzaha. Labda kuna mtu alipost habari ikiwa na picha na ujumbe wa Lissu kurudi nchini, sasa kwenye comments ndo wakawa wanachangia hivyo kwa muktadha wa kufanya mzaha..........ni mtazamo wangu lakini.​
 
Unamuuwa binaadamu mwenzio kwa maslahi ya boss? Au kwa chuki zako za kijingajinga.

Tuishi kwa upendo
 
Aliyempiga risasi Lisu hakuwa RPC wala OCD. Ni askari wa kawaida, kisanduku.
 
Huyo Lissu ni nani nchi hii kama sio kibwengo tu hamna Cha kumfanya huyo afande, Lissu hamtishi mtu kwa sasa katika hali ya kawaida hakuna wa kuhangaika na watu wa makundi maalumu maana wao wana heshima za kipekee kama malaika. Acheni uoga
 
Tindu Lissu ana RB
 
Kama anatuhuma atakamatwa apelekwe mahakamani
 

Me nadhan lisu anacheza na akili za watu tu, atakuwa Hana mpango wa kurudi na hataki kurudi

Hiko unachoongea ni cheap politics, na ndio chadema always mnatumia kulialia

Huyo WP kweka ni mtu mdogo Sana kwenye system ya police

Hana impact wala Hana amri yoyote ya kuweza kuamrisha watu wamfanye kitu lisu

And why mmetoa nusu ya maongezi? Toeni full basi mbona mmeishia hapo hapo Tu?

Acheni janja janja
 
Heri huyo kuliko huyu aliemwita Mbowe kuwa ni gaidi.

Huyu alipaswa kushughulikiwa haraka zaidi kuliko huyo unaemzungumzia hapo juu.
Your browser is not able to display this video.
 
Habari hizi zinaongeza wasiwasi kwa aliyetumwa kulinda raia na mali zake kujiingiza kwenye siasa wakati Mkuu wake wa kazi akiwaasa kuachana na siasa za visasi bali kujibu hoja zenye mashiko za upinzani.
[emoji1545]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…