Anayetishia Ujio wa Lissu Tanzania ajulikana. Ni Afisa wa Polisi wa Kike Julius Nyerere International Airport (JNIA)

Anayetishia Ujio wa Lissu Tanzania ajulikana. Ni Afisa wa Polisi wa Kike Julius Nyerere International Airport (JNIA)

Kama alivyouawa Jiwe ili kuirudisha nchi katika amani na sasa watu wanaishi kwa raha, waliolia walilia yakaisha.
[emoji23][emoji23][emoji23]Dogo wanaoishi kwa raha hii nchi ni tabaka dogo sana liko pale juu,

Wewe na ukoo wako mnaishi kwa shida sana! Na wala jiwe hajawahi kusababisha muishi kwa tabu namna hiyo!

Kama unabisha kwamba mnaishi kwa tabu, kacheki hali ya bimkubwako kule kijijini alafu jitafakari!
 
Wakali si wanafahamika Kuna Bashiru, Polepole, na Kabudi let alone kina Mpina.

Ni kweli mwenyekiti wa CCM ana nguvu kuliko binadamu yeyote ILA presha ya upinzani plus presha ya ndani ya chama Mama Samia hatoiweza hata kama ana Dola.

2015 kikwete hakua na Dola? Ile presha mpaka kuelekea uchaguzi ikabidi wamteue JPM unadhani bila upinzani kuwa imara both ndani na nje ya CCM JPM angepitishwa?? Hofu ya kuanguka ndio ilibidi wampitishe mtu asiyekua makando Kando kuliko wengine.

Kama mama Hana hofu na yeyote asingemuita Mbowe mezani Wala asingetimua watu wa JPM serikalini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vichekesho vingine! Kwa hiyo hao uliowataja ndio watu wa Magu wanaompa presha bi mkubwa?

Magufuli hakuteuliwa sababu ya kuwaogopa wapinzani! Ila aliteuliwa ili kuwazima kina Lowasa waliokuwa hawatakiwi basi!

Na hiyo 2015 si huwa mnadai mlishinda alafu kaporwa?

Nchi hii rais ndio kila kitu ndio maana nakushangaa unaposema hao kina mpina ndio tishio kwa huyu bibi
 
Ni vizuri kujua muktadha mzima wa hayo mawasiliano, wakati mwingine watu humo kwenye magroup huweza kuongea mambo kimzaha mzaha. Labda kuna mtu alipost habari ikiwa na picha na ujumbe wa Lissu kurudi nchini, sasa kwenye comments ndo wakawa wanachangia hivyo kwa muktadha wa kufanya mzaha..........ni mtazamo wangu lakini.​
 
Unamuuwa binaadamu mwenzio kwa maslahi ya boss? Au kwa chuki zako za kijingajinga.

Tuishi kwa upendo
 
Huyo dada ni askari mdogo asiyestahili hizi harakati mnazofanya. Comment ya askari mdogo huko WhatsApp inageuka ajenda kweli tena wanaume wazima na tegemeo kwa chama? Angesema RPC?

Utafikiri majobless the way tunadaka mambo na kukimbizana nayo.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Aliyempiga risasi Lisu hakuwa RPC wala OCD. Ni askari wa kawaida, kisanduku.
 
Wana JF

Tunawashukru wapekenyuzi kwa umakini wao kupata taarifa na picha za Police wa Kike anayejinasibu kumshughulikia Tundu Lissu atakapokuwa amewasili nchini.

Habari hizi zinaongeza wasiwasi kwa aliyetumwa kulinda raia na mali zake kujiingiza kwenye siasa wakati Mkuu wake wa kazi akiwaasa kuachana na siasa za visasi bali kujibu hoja zenye mashiko za upinzani.

Awali ya yote zilipatikana message za kundi sogezi akijinadi kumshughulikia Mwenyekiti msaidizi wa CDM
View attachment 2483105
Huyo Lissu ni nani nchi hii kama sio kibwengo tu hamna Cha kumfanya huyo afande, Lissu hamtishi mtu kwa sasa katika hali ya kawaida hakuna wa kuhangaika na watu wa makundi maalumu maana wao wana heshima za kipekee kama malaika. Acheni uoga
 
Wana JF

Tunawashukru wapekenyuzi kwa umakini wao kupata taarifa na picha za Police wa Kike anayejinasibu kumshughulikia Tundu Lissu atakapokuwa amewasili nchini.

Habari hizi zinaongeza wasiwasi kwa aliyetumwa kulinda raia na mali zake kujiingiza kwenye siasa wakati Mkuu wake wa kazi akiwaasa kuachana na siasa za visasi bali kujibu hoja zenye mashiko za upinzani.

Awali ya yote zilipatikana message za kundi sogezi akijinadi kumshughulikia Mwenyekiti msaidizi wa CDM
View attachment 2483105
Tindu Lissu ana RB
 
Wana JF

Tunawashukru wapekenyuzi kwa umakini wao kupata taarifa na picha za Police wa Kike anayejinasibu kumshughulikia Tundu Lissu atakapokuwa amewasili nchini.

Habari hizi zinaongeza wasiwasi kwa aliyetumwa kulinda raia na mali zake kujiingiza kwenye siasa wakati Mkuu wake wa kazi akiwaasa kuachana na siasa za visasi bali kujibu hoja zenye mashiko za upinzani.

Awali ya yote zilipatikana message za kundi sogezi akijinadi kumshughulikia Mwenyekiti msaidizi wa CDM
View attachment 2483105
Kama anatuhuma atakamatwa apelekwe mahakamani
 
Wana JF

Tunawashukru wapekenyuzi kwa umakini wao kupata taarifa na picha za Police wa Kike anayejinasibu kumshughulikia Tundu Lissu atakapokuwa amewasili nchini.

Habari hizi zinaongeza wasiwasi kwa aliyetumwa kulinda raia na mali zake kujiingiza kwenye siasa wakati Mkuu wake wa kazi akiwaasa kuachana na siasa za visasi bali kujibu hoja zenye mashiko za upinzani.

Awali ya yote zilipatikana message za kundi sogezi akijinadi kumshughulikia Mwenyekiti msaidizi wa CDM
View attachment 2483105

Me nadhan lisu anacheza na akili za watu tu, atakuwa Hana mpango wa kurudi na hataki kurudi

Hiko unachoongea ni cheap politics, na ndio chadema always mnatumia kulialia

Huyo WP kweka ni mtu mdogo Sana kwenye system ya police

Hana impact wala Hana amri yoyote ya kuweza kuamrisha watu wamfanye kitu lisu

And why mmetoa nusu ya maongezi? Toeni full basi mbona mmeishia hapo hapo Tu?

Acheni janja janja
 
Heri huyo kuliko huyu aliemwita Mbowe kuwa ni gaidi.

Huyu alipaswa kushughulikiwa haraka zaidi kuliko huyo unaemzungumzia hapo juu.
 
Wana JF

Tunawashukru wapekenyuzi kwa umakini wao kupata taarifa na picha za Police wa Kike anayejinasibu kumshughulikia Tundu Lissu atakapokuwa amewasili nchini.

Habari hizi zinaongeza wasiwasi kwa aliyetumwa kulinda raia na mali zake kujiingiza kwenye siasa wakati Mkuu wake wa kazi akiwaasa kuachana na siasa za visasi bali kujibu hoja zenye mashiko za upinzani.

Awali ya yote zilipatikana message za kundi sogezi akijinadi kumshughulikia Mwenyekiti msaidizi wa CDM
View attachment 2483105
Habari hizi zinaongeza wasiwasi kwa aliyetumwa kulinda raia na mali zake kujiingiza kwenye siasa wakati Mkuu wake wa kazi akiwaasa kuachana na siasa za visasi bali kujibu hoja zenye mashiko za upinzani.
[emoji1545]
 
Back
Top Bottom