Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hili neneno....dunia imebadilika wazazi wengine wanatumia furusa,ni bora nionekane kauzu kuliko mazoea ya watoto wa jirani kuja kucheza kwangu hasa kwa sisi tunaokaa mbali na familia,unaishi man akapelaaaEpuka kuwazoea watoto ambao sio wako jamii yetu kwa sasa sio ile ya zamani .
Jela ukiingia kwa misala hiyo utapata wakati mgumu sanaNaye aliwe ndogo yake chap kwa haraka.
Ngese sana hiyo mutu.
Ushauri mzito sana huuEpuka kuwazoea watoto ambao sio wako jamii yetu kwa sasa sio ile ya zamani .
Unazungumziaje mambo ya ulawiti ni laana au siyo laana?Haki sawa itendeke kwa wahusika wote,