B'REAL JF-Expert Member Joined Oct 20, 2010 Posts 4,443 Reaction score 3,002 Mar 5, 2025 #22 DR HAYA LAND said: Epuka kuwazoea watoto ambao sio wako jamii yetu kwa sasa sio ile ya zamani . Click to expand... Mkuu hili neneno....dunia imebadilika wazazi wengine wanatumia furusa,ni bora nionekane kauzu kuliko mazoea ya watoto wa jirani kuja kucheza kwangu hasa kwa sisi tunaokaa mbali na familia,unaishi man akapelaaa
DR HAYA LAND said: Epuka kuwazoea watoto ambao sio wako jamii yetu kwa sasa sio ile ya zamani . Click to expand... Mkuu hili neneno....dunia imebadilika wazazi wengine wanatumia furusa,ni bora nionekane kauzu kuliko mazoea ya watoto wa jirani kuja kucheza kwangu hasa kwa sisi tunaokaa mbali na familia,unaishi man akapelaaa
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Mar 5, 2025 #23 Ulongupanjala said: Naye aliwe ndogo yake chap kwa haraka. Ngese sana hiyo mutu. Click to expand... Jela ukiingia kwa misala hiyo utapata wakati mgumu sana Ova
Ulongupanjala said: Naye aliwe ndogo yake chap kwa haraka. Ngese sana hiyo mutu. Click to expand... Jela ukiingia kwa misala hiyo utapata wakati mgumu sana Ova
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Mar 5, 2025 #24 DR HAYA LAND said: Epuka kuwazoea watoto ambao sio wako jamii yetu kwa sasa sio ile ya zamani . Click to expand... Ushauri mzito sana huu Naunga mkono kabisa Ova
DR HAYA LAND said: Epuka kuwazoea watoto ambao sio wako jamii yetu kwa sasa sio ile ya zamani . Click to expand... Ushauri mzito sana huu Naunga mkono kabisa Ova
Lucha JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 14,516 Reaction score 50,658 Mar 5, 2025 #25 cocastic said: Haki sawa itendeke kwa wahusika wote, Click to expand... Unazungumziaje mambo ya ulawiti ni laana au siyo laana?
cocastic said: Haki sawa itendeke kwa wahusika wote, Click to expand... Unazungumziaje mambo ya ulawiti ni laana au siyo laana?
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Mar 5, 2025 #26 Lucha said: Unazungumziaje mambo ya ulawiti ni laana au siyo laana? Click to expand... Duh naona umembana mwanangu cocastic na swali Ngoja ajibu Ova
Lucha said: Unazungumziaje mambo ya ulawiti ni laana au siyo laana? Click to expand... Duh naona umembana mwanangu cocastic na swali Ngoja ajibu Ova