Anayetuhumiwa kumlawiti mtoto katika Vyoo vya Kanisa - Sinza, asema “Sina lolote, naiachia Mahakama”

Epuka kuwazoea watoto ambao sio wako jamii yetu kwa sasa sio ile ya zamani .
Mkuu hili neneno....dunia imebadilika wazazi wengine wanatumia furusa,ni bora nionekane kauzu kuliko mazoea ya watoto wa jirani kuja kucheza kwangu hasa kwa sisi tunaokaa mbali na familia,unaishi man akapelaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…