Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Status
Not open for further replies.
Acha siasa chafu hapa kama una uhakika peleka polisi taarifa zako
 
Chadema sasa wanaweweseka sana. Wanasababisha watu wanakosa ajira kwa ujinga wao kama alivyofanya kubenea

Mkuu anayeweweseka ni yule anayemtafuta mfichua siri chafu badala ya ku-deal na izo siri chafu zilizovuja.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
UNachotakiwa kujua huyu jamaa ata kama anavujisha siri zina maslahi sana kwa msitakabali wa tanzania yA LEO NA KESHO sina maana ya kusema havunji sheria ila katika kutetea haki ni lazima kufanya makosa kidgo ili kuokoa haki za wengi ata YESU NI ROLE MAODEL WA WAPIGANIA HAKI WENGI HAPA DUNIANI kwahiyo mimi nammpa big up kama anafanya hiyo kazi ni mtu mwema sana na mzalendo licha ya kuwa nchi siyo yake! mafisadi mnatumalizia nchi MUNGU awaepushie mbali na tanzania yetu!
 
Tungependa na wewe tukufahamu kwanza ndipo tuamini hili swala lako usije ukawa umekurupuka kama Nchemba

CCM ndio zao kukurupuka...kama hawakurupuki watuambie wamefikia hatua gani katika ujenzi wa flyover ya hapa ubungo mataa?
 
Umekosa mgao ukaona bora umchomee?
Akitolewa unafikiri utapewa wewe?
 
Hajasoma rules and regulation: unafahamu hii rule wewe

1 - Flaming, Bashing, and Trolling:
Hate posts and personal attacks will not be tolerated on the boards. Treat others on these message boards as you would expect them to treat you.

Huyu bwana aliyekuwa accused wewe unadhani atajiteteaje hapa? Yaani mm nikigombana na wewe nikimbilie huku jamii forums na kuweka number zako za simu na email yako kuwa unawapa siri cdm?

Watu wa ajabu sana nyie

Wewe umejuaje kama hajasoma rules and regulations za JF. Halafu pia anaweza akawa na ushahidi halisia..
 
Kweli mods wanafanya kazi kwa uadilifu; hii habari imehamishiwa jamii intelligence!!!!

Kidogo kidogo tu tutafika CHADEMA ikiingia madarakani 2015! Uhuru wa habari, full shangwe! Kidumu chama na fikra za mwenyekiti.
Peoplezzzzzzz!
 
ccm hoiii
ccm holaa
ccm kulee
ccm pakataaa
ccm magamba tupa kule
 
Huyu mzungu atakuwa amekutosa kule sea cliff mnakoenda kuwawinda ili wawaoe. Usichezee hisia za watanzania, kwa sasa we need a saviour to save us from evils, in few years to come nchi itakuwa si yetu na rasilimali huna!!!! wataendelea kukutawala watoto wa kifalme maana wameshajiandalia njia!!!! Je hiki ndicho baba wa Taifa hili Muasisi alitufundisha? Ila amani, umoja na heshima viko wapi kwa leo? We are preaching what we do not live!!!!
 
nyie ndio mtulie dawa iingie vizuri.. tuna jopo la madaktari bingwa wakiongozwa na DR KIGWANGALLA kwa ajili ya afya zenu japo mna tabia ya kutoroka wodini pale mirembe

mbona unataka waliochokwa na wananchi ndugu?
 
Huyu jamaa anapatikana wapi, maana jinsi nilivyo na hasira naye, nitaondoka na kichwa chake, wala sisubiri vyombo vya dola vifanye kazi yake
 
Nchi yetu inajukumu sasa la kupambana na hawa wageni wasio waadilifu kwani wanatuvurugia taifa letu siwapendi,na hawa chadema wanalipeleka wapi taifa hili?
 
ww acha kuteta ujinga na huyo Mzungu ni mzalendo sana.
Ondoa mawazo ya ki-bavicha. Toka lini mzungu akawa Mzalendo. inavyoonekana hujawahi hata kukanyaga hata katika nchi za magharibi ukajionea mwenyewe kuliko kusikia maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa.
 
HahaA! Nimeshapata dawa yake, namfahamu secretary wake, dereva wake na wasaidizi wake, nitawatumia hao kumwadabisha, si unajua ile kitu anatembea naye ben saanane?
 
Napata shida sana na chama hiki kwa nini maovu mengi ni yao kila kukicha.

kumbe na ww unaamini vijana wa lumumba wanaotoa hoja za uongo na uzushi, dola yote inaongozwa na serikali ya chama chao hujawahi kujiuliza kwanini hawawezi kuichukulia sheria CHADEMA!? simply ni kwasababu hawana ushahidi wa wanachokipost!
 
Hii ingekuwa ni dhidi ya CCM ungeshuhudia matusi, kejeli, na maneno mengine yote ambayo kumwaibisha mlengwa ila kwa sababu ni CHADEMA. futeni yabaki matusi, kashfa za watu na dharau dhidi ya wasiokuwa CHADEMA JF nashangaa ilivyokaa ki-CHADEMA. tuambieni kama sisi tusiokuwa na chama hapa si mahali petu?

unajua wewe sikajiji ni mjinga sana? hivi kama jf ni ya chadema kwa nini mada kama hizi zinz ruhusiwa? kwa nini sasa ulijiunga kama unaamini hivi? utaondokana na ujinga huu lini? hebu jiamini acha mambo ya watoto.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom