Siku yake ilikuwa imefikaKWANINI AKAJIFUNGUE SIKU YA MKUTANO NA SIYO KABLA AU BAADA
Mkuu, kama ulikuwa hujui huyo RC na bwana Mwamposa ni mtu na swahiba yake haswaa.. yaani wameshibana ile ileUliposema na mkuu wa mkoa yupo ndio uzi ulipoharibikia. Sehemu yoyote akiwepo uyo jamaa mkuu wa mkoa, uwepo wa baraka za kimungu unakimbia. Kwanza tunataka atoke adharani atubu kwa kumanisha sio hizo tour za nyumba za ibada za kuigiza