Anayoyafanya Mwamposa kama ni kweli, Watanzania tusipuuze kila kitu

Anayoyafanya Mwamposa kama ni kweli, Watanzania tusipuuze kila kitu

Niko nafuatilia mkutano wa injili wa mwamposa huko Arusha naona makubwa yanafanyika anavohubiri neno liko sawa

Ana nguvu za Mungu, Muujiza wa kwanza. Mwanamke mjazito aliyepitiliza muda wa kujifingua, Sasa Leo kapata uchungu na anajifungua.

Mkuu wa mkoa ameshawafika mkutanoni. Mahubiri ni mazuri mno

Nitakuwa reporter leo.

Mkishapigwa msilete vilio.
 
Huyu muhubiri watu wanampuuza lkn huyu ni mtumishi wa kweli kabisa wa Mungu,mama yangu sukari imemsumbua sana lkn baada ya kuombewa tu na Mwamposa hakika amepona kabisa sukari hakuna tena
 
Niko nafuatilia mkutano wa injili wa mwamposa huko Arusha naona makubwa yanafanyika anavohubiri neno liko sawa

Ana nguvu za Mungu, Muujiza wa kwanza. Mwanamke mjazito aliyepitiliza muda wa kujifingua, Sasa Leo kapata uchungu na anajifungua.

Mkuu wa mkoa ameshawafika mkutanoni. Mahubiri ni mazuri mno

Nitakuwa reporter leo.

Ilo ni kubwa la matapeli, wakristo mnaibiwa shtukeni!!!mmebakia Kobaz,kobaz
 
Aombe itokee computer ya ajabu, .Miujiza ni ile ile copy paste ya yesu. Muujiza ni kitu ambacho hakijawahi fanyika.
Mfano aombe andunje awe super tall na super tall awe andunje.
Augeuze huo umati wanawake wawe wanaume na wanaume wawe wanawake.
Mnashindwa miujiza na wanasayansi. Wameunda simu namskja bibi akiwa mbali. Acheni hizo.
 
Unaelewa hiki unaongea?

Kinachokuponya sio Mwamposa ni imani yako, yeye anakuwa ni chanzo tu cha kuamsha imani yako.

Akienda Hospital wagonjwa hawana imani, wanapona na nini?

Ndio maana ukimsikiliza vizuri huwa anasema au kuuliza, ni nani mtenda miujiza? Yesu.

Hata Yesu alivyoponya aliwaambia IMANI YAKO imekuponya.

Hata wewe hapo kinachokupa uwezo wa kufanya kazi ni Imani kuwa unaweza.
SIKU WAKIENDA HOSPITAL KUPONYA WAGONJWA NA KUKUSANYA VILEMA NA KUWAPONYA NTAAMINI WANATENDA MIUJIZA KWELI
 
Vipi kuhusu yule aliamini, nikigusa tu vazi la Yesu nimepona, alikuwa hamwamini Mungu? Na ni kweli aligusa na akapona ugonjwa wa kutoka damu miaka 12.


Siku hizi watu hawamwamini Mungu bali wanaamini mafuta,maji na keki ya Mwamposa.Yaani unakuta mtu badala aombe anakunywa mafuta ya Mwamposa akiamini shida itakwisha.
 
Niko nafuatilia mkutano wa injili wa mwamposa huko Arusha naona makubwa yanafanyika anavohubiri neno liko sawa

Ana nguvu za Mungu, Muujiza wa kwanza. Mwanamke mjazito aliyepitiliza muda wa kujifingua, Sasa Leo kapata uchungu na anajifungua.

Mkuu wa mkoa ameshawafika mkutanoni. Mahubiri ni mazuri mno

Nitakuwa reporter leo.

Kwanini mlimfitini kiboko ya wachawi wakati wote wanafanya kinachofanana?
 
Hivi ni nini maana ya miujiza? Maana naona vitu vyengine ni vya kawaida tu ila vinaitwa miujiza.
 
Back
Top Bottom