Anayoyafanya Mwamposa kama ni kweli, Watanzania tusipuuze kila kitu

Anayoyafanya Mwamposa kama ni kweli, Watanzania tusipuuze kila kitu

Niko nafuatilia mkutano wa injili wa mwamposa huko Arusha
Naona makubwa yanafanyika
Anavohubiri neno liko sawa
Ana nguvu za Mungu

Muujiza wa kwanza
Mwanamke mjazito aliyepitiliza muda wa kujifingua, Sasa Leo kapata uchungu na anajifungua.

Mkuu wa mkoa ameshawafika mkutanoni

Mahubiri ni mazuri mno

Nitakuwa reporter leo
Huwa ni upuuzi mtupu, miujiza IPO, ila sio hiyo ya kimazingaombwe,
Nitakupa mfano,
Nilikuwa, UDsm , naingia mwaka wa tatu, nimetoka likizo,Sina Ada, uongozi wa chuo ukazuia hakuna mwanafunzi kwenda hostel,bila kumaliza Ada, lipa Ada, ndio upewe funguo za chumba, hapo Sina kitu, wazazi choka mbaya, tukakaa mpaka jioni,saa 11,chuo hakitaki kutupa muda tulipe kidogo kidogo, na jatatu yake, mitiani inaanza, nikamuuliza Mungu, inamaana sitaweza kumaliza shahada yangu, nakuwa mhandisi, kama tulivyokubaliana tangu nikiwa la Saba! Ilipofika, saa 12,Dean akaruhusu wanafunzi, waliopo bado adminstrstion waende hostel, Ada watalipa, mwezi ujao! Na mwezi huo, Anko wangu alikuwa anamalizia nyumba yake, akanipa kazi ya kuweka mifumo ya umeme, nikapiga kazi, nikpata ADA! Hiyo ndio muujiza,lazima mwanadsmu ashiriki kwa nguvu zake,sio kukaa na kusubili nyumba na gari,
Mwamposa akiwa Far, kawe, wanaopata miujiza wote ni wa mikoani! Sio wa kitaani, ili, tuthibitishe, akiwa mikoani huko Arusha, wanaofunguliwa ni Wa dar!
 
Huwa ni upuuzi mtupu, miujiza IPO, ila sio hiyo ya kimazingaombwe,
Nitakupa mfano,
Nilikuwa, UDsm , naingia mwaka wa tatu, nimetoka likizo,Sina Ada, uongozi wa chuo ukazuia hakuna mwanafunzi kwenda hostel,bila kumaliza Ada, lipa Ada, ndio upewe funguo za chumba, hapo Sina kitu, wazazi choka mbaya, tukakaa mpaka jioni,saa 11,chuo hakitaki kutupa muda tulipe kidogo kidogo, na jatatu yake, mitiani inaanza, nikamuuliza Mungu, inamaana sitaweza kumaliza shahada yangu, nakuwa mhandisi, kama tulivyokubaliana tangu nikiwa la Saba! Ilipofika, saa 12,Dean akaruhusu wanafunzi, waliopo bado adminstrstion waende hostel, Ada watalipa, mwezi ujao! Na mwezi huo, Anko wangu alikuwa anamalizia nyumba yake, akanipa kazi ya kuweka mifumo ya umeme, nikapiga kazi, nikpata ADA! Hiyo ndio muujiza,lazima mwanadsmu ashiriki kwa nguvu zake,sio kukaa na kusubili nyumba na gari,
Mwamposa akiwa Far, kawe, wanaopata miujiza wote ni wa mikoani! Sio wa kitaani, ili, tuthibitishe, akiwa mikoani huko Arusha, wanaofunguliwa ni Wa dar!
Daah
 
Niko nafuatilia mkutano wa injili wa mwamposa huko Arusha naona makubwa yanafanyika anavohubiri neno liko sawa

Ana nguvu za Mungu, Muujiza wa kwanza. Mwanamke mjazito aliyepitiliza muda wa kujifingua, Sasa Leo kapata uchungu na anajifungua.

Mkuu wa mkoa ameshawafika mkutanoni. Mahubiri ni mazuri mno

Nitakuwa reporter leo.

Kama ni kweli wagonjwa wengi sana wamelazwa Hospitali mbali mbali kwanini asizunguke kote huko kuwatibia!!
 
Niko nafuatilia mkutano wa injili wa mwamposa huko Arusha naona makubwa yanafanyika anavohubiri neno liko sawa

Ana nguvu za Mungu, Muujiza wa kwanza. Mwanamke mjazito aliyepitiliza muda wa kujifingua, Sasa Leo kapata uchungu na anajifungua.

Mkuu wa mkoa ameshawafika mkutanoni. Mahubiri ni mazuri mno

Nitakuwa reporter leo.

Wajinga waliwao

Ova
 
Niko nafuatilia mkutano wa injili wa mwamposa huko Arusha naona makubwa yanafanyika anavohubiri neno liko sawa

Ana nguvu za Mungu, Muujiza wa kwanza. Mwanamke mjazito aliyepitiliza muda wa kujifingua, Sasa Leo kapata uchungu na anajifungua.

Mkuu wa mkoa ameshawafika mkutanoni. Mahubiri ni mazuri mno

Nitakuwa reporter leo.

Kapime akili
 
Niko nafuatilia mkutano wa injili wa mwamposa huko Arusha naona makubwa yanafanyika anavohubiri neno liko sawa

Ana nguvu za Mungu, Muujiza wa kwanza. Mwanamke mjazito aliyepitiliza muda wa kujifingua, Sasa Leo kapata uchungu na anajifungua.

Mkuu wa mkoa ameshawafika mkutanoni. Mahubiri ni mazuri mno

Nitakuwa reporter leo.

Jambo jema...
 
Niko nafuatilia mkutano wa injili wa mwamposa huko Arusha naona makubwa yanafanyika anavohubiri neno liko sawa

Ana nguvu za Mungu, Muujiza wa kwanza. Mwanamke mjazito aliyepitiliza muda wa kujifingua, Sasa Leo kapata uchungu na anajifungua.

Mkuu wa mkoa ameshawafika mkutanoni. Mahubiri ni mazuri mno

Nitakuwa reporter leo.

Utapeli mtupu
 
Back
Top Bottom