mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Haya mambo yananikereketa sana mimi mkana dini, lakini nimeshaona nikitumia nguvu zangu kubishana nanyi nitakuwa naenda kinyume na misingi yangu.
Kwanini kitu nisichoamini kinitese, hakinihusu.
Mtajua wenyewe kama mnaona huko kunawasaidia, nendeni.
Kwanini kitu nisichoamini kinitese, hakinihusu.
Mtajua wenyewe kama mnaona huko kunawasaidia, nendeni.