Anayoyasema Jenerali Ulimwengu yalitakiwa yasemwe na Mzee Mwinyi (Rais Mstaafu) au Kikwete

Anayoyasema Jenerali Ulimwengu yalitakiwa yasemwe na Mzee Mwinyi (Rais Mstaafu) au Kikwete

Wale wahenga wenzangu mtakua mnakumbuka jinsi mwl Nyerere alivyokua anaita waandishi wa habari na kuongekea mambo mbalimbali yanayohusu nchi. Hili alilifanya hasa alipoona mamba yanaenda ndivyo sivyo.

Ninakumbuka alipokemea kuhusu kupuuzwa kwa katiba ya nchi kipindi cha uongozi wa mzee Mwinyi. Hii ilionyesha uwajibikaji kwa kiongozi mstaafu na iliwakumbusha walioko madarakani majukumu yao.

Kwa miaka ya karibuni hali hii imekua tofauti. Huwezi kusikia wastaafu waliopo kuzungumzia mambo au kukemea maovu yanapofanywa na walioko madarakani. Je ni woga, kupuuza au ni sehemu ya wale wanaofanya kinyume?

Mwinyi na Kikwete hawawezi kukemea udhaifu wowote wa kiutawala nchi hii, maana wao na familia zao wanafaidika na udhaifu wa hiyo mifumo ya kiutawala. Tazama vizuri Mwinyi mtoto wake ni rais wa Znz, mwanae mwingine ni waziri, na wameingia madarakani kwa umwagaji damu na wizi wa kura! Kikwete mke na mtoto wake ni wabunge katika uchaguzi ulionajisiwa na wa kishenzi mno, na wote wana matumaini ya kuwa Mawaziri, hata ikibidi urais. Hivyo mifumo ikiwa imara hawawezi kufikia hayo malengo yao. Akina Jenerali wanaweza kukemea kwanza ni kwakuwa ana uwezo na ujuzi wa mambo, pili hatarajii kunufaika na mifumo mibovu ya utawala, na wala hataki.
 
Wale wahenga wenzangu mtakua mnakumbuka jinsi mwl Nyerere alivyokua anaita waandishi wa habari na kuongekea mambo mbalimbali yanayohusu nchi. Hili alilifanya hasa alipoona mamba yanaenda ndivyo sivyo.

Ninakumbuka alipokemea kuhusu kupuuzwa kwa katiba ya nchi kipindi cha uongozi wa mzee Mwinyi. Hii ilionyesha uwajibikaji kwa kiongozi mstaafu na iliwakumbusha walioko madarakani majukumu yao.

Kwa miaka ya karibuni hali hii imekua tofauti. Huwezi kusikia wastaafu waliopo kuzungumzia mambo au kukemea maovu yanapofanywa na walioko madarakani. Je ni woga, kupuuza au ni sehemu ya wale wanaofanya kinyume?
Aaaaaaa na hivi walivyohongwa kwa kujengewa nyumba ndo basi tena, hatutawasikia teeena!!

Na faida ya kuwa na kiongozi aliyestaafu hakuna tena😓😓😓
 
Wale wahenga wenzangu mtakua mnakumbuka jinsi mwl Nyerere alivyokua anaita waandishi wa habari na kuongekea mambo mbalimbali yanayohusu nchi. Hili alilifanya hasa alipoona mamba yanaenda ndivyo sivyo.

Ninakumbuka alipokemea kuhusu kupuuzwa kwa katiba ya nchi kipindi cha uongozi wa mzee Mwinyi. Hii ilionyesha uwajibikaji kwa kiongozi mstaafu na iliwakumbusha walioko madarakani majukumu yao.

Kwa miaka ya karibuni hali hii imekua tofauti. Huwezi kusikia wastaafu waliopo kuzungumzia mambo au kukemea maovu yanapofanywa na walioko madarakani. Je ni woga, kupuuza au ni sehemu ya wale wanaofanya kinyume?
Umeongea vyema sana ndugu yetu!
 
Wale wahenga wenzangu mtakua mnakumbuka jinsi mwl Nyerere alivyokua anaita waandishi wa habari na kuongekea mambo mbalimbali yanayohusu nchi. Hili alilifanya hasa alipoona mamba yanaenda ndivyo sivyo.

Ninakumbuka alipokemea kuhusu kupuuzwa kwa katiba ya nchi kipindi cha uongozi wa mzee Mwinyi. Hii ilionyesha uwajibikaji kwa kiongozi mstaafu na iliwakumbusha walioko madarakani majukumu yao.

Kwa miaka ya karibuni hali hii imekua tofauti. Huwezi kusikia wastaafu waliopo kuzungumzia mambo au kukemea maovu yanapofanywa na walioko madarakani. Je ni woga, kupuuza au ni sehemu ya wale wanaofanya kinyume?
Mwinyi na kikwete wabajua wajibu wao unapostaafu unakaa kimya
 
Aaaaaaa na hivi walivyohongwa kwa kujengewa nyumba ndo basi tena, hatutawasikia teeena!!

Na faida ya kuwa na kiongozi aliyestaafu hakuna tena😓😓😓
Hata nyerere alijengewa nyumba alipostaafu kama kumbukumbu zangu ziko sawa. Naweza sahihishwa katika hili
 
bantu2.png
Hoja yako inamashiko Ndugu.
 
Back
Top Bottom