kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Wa kisutu!Majaji wa kuzimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kisutu!Majaji wa kuzimu?
Siyo wa kuzimu?Wa kisutu!
Wa kisutu!Siyo wa kuzimu?
Wacha kijitia mjanja wakati unatokea koromitjeWa kisutu!
Alisema katiba ivunjwe mzee pombe atawale milele.Mwinyi umri umeenda!
Mbona wewe wa gambos sikulazimishi!Wacha kijitia mjanja wakati unatokea koromitje
Huna bahati ya kukujua kwetuMbona wewe wa gambos sikulazimishi!
Wale wahenga wenzangu mtakua mnakumbuka jinsi mwl Nyerere alivyokua anaita waandishi wa habari na kuongekea mambo mbalimbali yanayohusu nchi. Hili alilifanya hasa alipoona mamba yanaenda ndivyo sivyo.
Ninakumbuka alipokemea kuhusu kupuuzwa kwa katiba ya nchi kipindi cha uongozi wa mzee Mwinyi. Hii ilionyesha uwajibikaji kwa kiongozi mstaafu na iliwakumbusha walioko madarakani majukumu yao.
Kwa miaka ya karibuni hali hii imekua tofauti. Huwezi kusikia wastaafu waliopo kuzungumzia mambo au kukemea maovu yanapofanywa na walioko madarakani. Je ni woga, kupuuza au ni sehemu ya wale wanaofanya kinyume?
Jk alijitokeza kuonya kipindi cha jpm na kutishwa na ali hepi uwenda kipindi hicho ulikuwa burundi
Aaaaaaa na hivi walivyohongwa kwa kujengewa nyumba ndo basi tena, hatutawasikia teeena!!Wale wahenga wenzangu mtakua mnakumbuka jinsi mwl Nyerere alivyokua anaita waandishi wa habari na kuongekea mambo mbalimbali yanayohusu nchi. Hili alilifanya hasa alipoona mamba yanaenda ndivyo sivyo.
Ninakumbuka alipokemea kuhusu kupuuzwa kwa katiba ya nchi kipindi cha uongozi wa mzee Mwinyi. Hii ilionyesha uwajibikaji kwa kiongozi mstaafu na iliwakumbusha walioko madarakani majukumu yao.
Kwa miaka ya karibuni hali hii imekua tofauti. Huwezi kusikia wastaafu waliopo kuzungumzia mambo au kukemea maovu yanapofanywa na walioko madarakani. Je ni woga, kupuuza au ni sehemu ya wale wanaofanya kinyume?
Kule maji matitu kunatosha!Huna bahati ya kukujua kwetu
Hujui kuwa ni sehemu ya JMT?Kule maji matitu kunatosha!
Namkumbuka Ally Hapii alivyo wapiga mkwara wazee wetuWastaafu walishaambiwa waache viherehere...
Umeongea vyema sana ndugu yetu!Wale wahenga wenzangu mtakua mnakumbuka jinsi mwl Nyerere alivyokua anaita waandishi wa habari na kuongekea mambo mbalimbali yanayohusu nchi. Hili alilifanya hasa alipoona mamba yanaenda ndivyo sivyo.
Ninakumbuka alipokemea kuhusu kupuuzwa kwa katiba ya nchi kipindi cha uongozi wa mzee Mwinyi. Hii ilionyesha uwajibikaji kwa kiongozi mstaafu na iliwakumbusha walioko madarakani majukumu yao.
Kwa miaka ya karibuni hali hii imekua tofauti. Huwezi kusikia wastaafu waliopo kuzungumzia mambo au kukemea maovu yanapofanywa na walioko madarakani. Je ni woga, kupuuza au ni sehemu ya wale wanaofanya kinyume?
Mwinyi na kikwete wabajua wajibu wao unapostaafu unakaa kimyaWale wahenga wenzangu mtakua mnakumbuka jinsi mwl Nyerere alivyokua anaita waandishi wa habari na kuongekea mambo mbalimbali yanayohusu nchi. Hili alilifanya hasa alipoona mamba yanaenda ndivyo sivyo.
Ninakumbuka alipokemea kuhusu kupuuzwa kwa katiba ya nchi kipindi cha uongozi wa mzee Mwinyi. Hii ilionyesha uwajibikaji kwa kiongozi mstaafu na iliwakumbusha walioko madarakani majukumu yao.
Kwa miaka ya karibuni hali hii imekua tofauti. Huwezi kusikia wastaafu waliopo kuzungumzia mambo au kukemea maovu yanapofanywa na walioko madarakani. Je ni woga, kupuuza au ni sehemu ya wale wanaofanya kinyume?
Hata nyerere alijengewa nyumba alipostaafu kama kumbukumbu zangu ziko sawa. Naweza sahihishwa katika hiliAaaaaaa na hivi walivyohongwa kwa kujengewa nyumba ndo basi tena, hatutawasikia teeena!!
Na faida ya kuwa na kiongozi aliyestaafu hakuna tena😓😓😓
Ha ha ha ha nimecheka sana yaani uzee unamjia wakati wa kukemea tu ila kusifia sawa daahDah ila mbona kusifia anaweza?
Na mtoto wake ameshakabidhiwa kisiwa.Mwinyi umri umeenda!