Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwl. Nyerere ni mwanzilishi wa Taifa na ni Baba wa Taifa. Hakuwa na uroho wa mali. Ethics na Integrity is 100%. Hawa hawawezi kulinganishwa na NyerereHata nyerere alijengewa nyumba alipostaafu kama kumbukumbu zangu ziko sawa. Naweza sahihishwa katika hili
Nyerere alikuwa na uthubutu wa kukiri kuwa aliyumba sehemu flani😅 ila sio hawa vijana wake aliowaachia nchi!JK alikuwa msafi? Mbona Nyerere aliweza?
Za chini ya kapeti zinasema Yule ni babaake mzazi.. ..Tatizo wanakaribishwa ndani ya sinia, Nyerere ilikuwa ngumu sana kumwingiza kingi na zawadi za gari ya birthday na hekalu la rais mstaafu......utaumbuka mapema sana, acha kabisa yule mzee.