Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Na haoni aibu kusema... Kibaya zaidi wanyonge wanapiga makofi kama mazuzu...!Ni aibu kwa Rais wa nchi kulipiwa nauli na wafanyabiashara kwenda kikazi nje, hawa watu wakigoma kulipa kodi utawafanya nini? mambo ya hovyo kabisa
Mfumo mbovu ndiyo umetufikisha hapaNa haoni aibu kusema... Kibaya zaidi wanyonge wanapiga makofi kama mazuzu...!
Elimu tuliyopewa imetupofusha kabisa! Hatuoni japo kusikia tunasikia!
Katiba mbovu na elimu duni!Mfumo mbovu ndiyo umetufikisha hapa
CCM imetufanya tuwe wajinga snKatiba mbovu na elimu duni!
Watanzania watajadili vazi la kimasai la manara au diamond kuliko wanavyojadili mustakabali wa nchi yao!!
C C M ni UGONJWA mbaya sana Kwa sasa. Nyerere mwenyewe mwenye KADI no. 1, aliwahi tishia kurudisha enzi hizo.Namna viongozi wa Anc na CCM wanavyobehave ni namna moja.
Walijinyenyekeza kwa wananchi na kujionyesha kuwa wapo kwa ajili ya kutumikia wananchi wanyonge.
Lakini kumbe ni watu wakusahau na waiba mali za umma.
Leo hii ni magenge ya wafanyabiashara na wezi wa mali za umma wanaongoza viongozi wa vyama hivi kuibia mali za umma wananchi.
Anc wapo na matajiri wao kama akina Gupta. Ccm wapo na Rostam Azizi.
Watanzania tuikatae CCM.
Hivi kawa akili ya kawaida ulitegemea Mike Soko aondolewe ugavana wa Nairobi kama bila ya kuwa na utawala bora?
Leo hii huko Kenya Dci au Dpp akizingua anashitakiwa na hata kufungwa.
Huko Zambia unafahamu namna Mzee Kaunda alivyoharibu uchumi?
Leo hii unajua wako vipi?
Teh teh hata mbeya wanatumia bidhaa za Zambia na Malawi longtime agoKwani hilo la Watanzania kwenda kuchukua bidhaa Kenya limeanza leo, mbona lipo toka enzi za KANU.. .. pale Taveta, Rombo, Sirali, Namanga na chocho nyingine kote huko magendo na watanzania kwenda kuchukua bidhaa ni toka enzi zile za miak 80's mpaka leo....
Naona unatoka nje ya maada, kaa kwenye mada yako..
Kinana kaja kuinusuru kwamba anakubalika Sana na wanaccm!!tena MSTAAFU wa jeshi!!!unadhani hawezi inusuru!!?C C M ni UGONJWA mbaya sana Kwa sasa. Nyerere mwenyewe mwenye KADI no. 1, aliwahi tishia kurudisha enzi hizo.
Lbda nichangie kidogoKwanini wasije kuchukua kwetu vitu kama sisi tumeendelea kuliko Kenya, siamini kama mtu anaweza kutoka Dar akafuata bidhaa Singida
HahahaKwanza CCM ni kichaka cha majangili tupu
Huu umejibia upumbavu wa hali ya juu,Zambia na Botswana ni mifano hai iliyobadilisha maisha ya common man on the street, ccm ni chama cha mafisadi, wanafiki na waungo wakubwaTaja nchi mbili ambazo zimeondoa hivyo vyama vya ukombozi na kufanikiwa kutatua matatizo..
Kunatofauti gani ya Kenya ya KANU na hii ya wahuni wa mjini wa sasa.
Pale Zambia kuna tofauti gani baada ya kumtoa Kaunda na chama lake na sasa..
Mifano ni mingi Africa..
Tatizo la Africa na WaAfrica ni WaAfrica weusi wenyewe na si vinginevyo na kuleta utofauti ni pale waAfrica wote tutakapobadili tabia zetu..
Ni matapeli snHahaha
Mzee uikubali kbs kijani
Ova
Hiyo siyo bidhaa mkuu hayo ni mazao hata Marekani wanakuja kufuata almasiLbda nichangie kidogo
Mfano ukiwa rombo mkuu wakenya
Wanakujaga kufata ndizi,mbao nk
Ova
Tatizo kubwa la hii nchi ni ccm.malawi na Zambia matibabu bure.na vyama tawala vimeondolewa.uku Tanzania siasa za kishamba.bunge la ccm,serikali ya ccm,mahakama ya ccm,Polisi ya ccm,rais yuko kama Mungu.utalinganisha na Kenya?? Kenya rushwa ipo lkn inachochea maendeleo.viwanda viko vingi Kenya,na uchumi uko juu.ccm wanaua,wanaiba kura,ndugai spika kaongea kweli katimliwa.unataka kipi zaidi ya kuitoa ccm??mbadala wa ccm ni CHADEMA.utake usitake ndo ukweli.hadi mkufaji maguufool anajua Hilo.take or leaveOk sawa, tangu hao DCI na DPP wawe na uwezo huo wa kushitaki KENYA ule ufisadi ambao ni zaidi ya Tanzania na upo toka enzi za KANU umeisha?..
Kaunda aliharibu uchumi, kipi kipya Zambia toka ameingia Chiluba, Mwanawasa, Hichilema nk..?
Copper, dhahabu bado mabeberu wanachimba tu..rushwa iki pale pale tena Zambia rushwa afadhali ya Tanzania iko njia nzika kuanzia Nakonde to kapili, Nakonde to Chinsali, Nakonde to Lusaka, ndola, kitwe, nk....
Usichanganye maendeleo yanayokuja kutokana na maendeleo ya dunia na maendeleo yaliuokuja kutokana na mipango madhubuti mliyojiwekea wenyewe...
ccm siyo chama cha ukombozi. ni mtoto wa vyama viwili vya ukombozi TANU na ASPNamna viongozi wa Anc na CCM wanavyobehave ni namna moja.
Walijinyenyekeza kwa wananchi na kujionyesha kuwa wapo kwa ajili ya kutumikia wananchi wanyonge.
Lakini kumbe ni watu wakusahau na waiba mali za umma.
Leo hii ni magenge ya wafanyabiashara na wezi wa mali za umma wanaongoza viongozi wa vyama hivi kuibia mali za umma wananchi.
Anc wapo na matajiri wao kama akina Gupta. Ccm wapo na Rostam Azizi.
Watanzania tuikatae CCM.
Hahaha sema hatuna jinsiNi matapeli sn
Huu umejibia upumbavu wa hali ya juu,Zambia na Botswana ni mifano hai iliyobadilisha maisha ya common man on the street, ccm ni chama cha mafisadi, wanafiki na waungo wakubwa