Ancestral Curse: Ujerumani iliwaua Wayahudi zaidi ya Milioni 6, lakini ndio nchi yenye nguvu zaidi Ulaya. Je, hii dhana ya laana ya asili ipo sahihi?

Rais Magufuli ni mbeba maono Kwa jinsi uchumi wa Tanzania unavyokuwa kwa kasi hadi 2025 tutakuwa tumeipiku south Africa.
 
Asante Rais Magufuli kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati, Mungu akupe afya uendelee kututumikia.
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ hizi dini hizi daah !!!
 
Hii mambo ya kiimani zaidi

Binafsi Mimi siamini hio dhana ya laana asili yani uovu wa babu yangu laana inipate hadi mimi kisa mtiririko wa damu aaahh, hilo swala halikubaliani na akili yangu....

Pia kwa upande wa imani yangu ya dini (uislamu) hilo jambo halikubaliani nalo , kwenye Quran tumeambiwa kila nafsi italipwa kwa aliyoyachuma mwenyewe mazuri au mabaya na ikasema baba hana jukumu kwenye dhambi za mtoto pia mtoto nae hivyo hivyo

2:281

"Na iogopeni Siku ambayo mtarudishwa kwa Mwenyezi Mungu, kisha kila nafsi italipwa ilicho chuma. Nao hawatadhulumiwa."

Lakini kuna kitu kinafahamika kana dhima mtiririko wa dhambi kwa kosa la mtu mwengine , lkn dhambi hiyo unaipata ukiwa umeshiriki kwenye uovu huo mfano sehemu za kufanyia zinaa zinajebgwa nawe ukashiriki kujenga basi dhambi zitazo chumwa pale nawe zitakuhusu kwasababu ya mchango wako hta ukiwa umekufa bado dhambi zako zitazid kumiminika
 
Okay...
 
Leo kivipi historia ya miaka elfu mbili iliyo pita uaminishwe majengo na magofu yapo israel wakati Ethiopia,sudan na misri wana vitu halisi kabisa kama vilivyo elezwa kwenye hivi vitabu vya imani

Africa tuamke

2020 APOCALYPSE YEAR
Sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…