Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii Avator nashindwa kuelewa mawazo yako yalikuwepo wapi wakati unaichagua!Asante emeline,je hii chicken masala ya sanfaz naipata wap hapa mjini?
Uwasilishaji umetulia,picha ya kila step,inafanya mtu unaelewa somo kwa haraka.
hizo ni mbichi but upendavyo wewe hata mbivu hasa mzuzu ni bomba pia
hizo ni mbichi but upendavyo wewe hata mbivu hasa mzuzu ni bomba pia
Chakula kitamu sana (japo ndizi fried, mmh! Ningezibwaga kwenye oven nikazisahau). Nimependa presentation yako, inavutia haswaa. Hapa naskia harufu kabisaa. Asante sana.
Chakula changu cha fasta ni spaghetti (zile nyembambaaaaa kama mchele) kwa nyama ya kusaga. Ama na combinenga ya sausage. Kuna smoked sausage, nazikata kimshazari hivi. Nakaanga kitunguu, followed by nyanya then sausage. Pembeni sufuria yenye mafuta nusu kijiko, naweka tambi na kuzitoss kidogo. Naweka maji ya moto kidogo sana na kufunika.
Baada ya dk tano naweka rojo ya sausage kwenye tamvi na kuvuruga kwa dakika chache. Matango ya kurashia, violaaaa!
Hii dish haichukui dk 20 kama unatumia.majiko mawili (namaanisha plates mbili)
nilijiahidi kupika kwa style mpya nikaunguza sasa sijui nilikosea wapi....Mhandisi Mzalendo wapi iyo chakula? ameline safi sana izo firigisi za kuku wa kienyeji au kizungu?yani ktk mboga zangu samaki na kuku hakosekan home na sausages
napataje soseji za songea zile????ule utamu sijawai zisahau hasilan
nilijiahidi kupika kwa style mpya nikaunguza sasa sijui nilikosea wapi....