100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Nilichomuelewa Jpm, kama kuna watu aliwaumiza ni kwa ajili ya Tanzania.
Hakuamini kama siasa na demokrasia ingeleta maendeleo.
Aliona Tanzania ipo nje ya muda katika kila nyanja, hivyo alikua na mipango na mikakati yake binafsi kichwani kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Aliyempinga alimuona ni mpingaji wa maendeleo na hawatakii mema waTanzania.
Alikua yupo radhi kufanya maamuzi magumu na kukubali lawama lakini kikubwa nchi ipige hatua.
Jpm alikua na ideologies zake ambazo wengine walimuona dictator, lakini kwa nchi ilipokuwa imefika naungana na Jpm.
"Nimesacrifice maisha yangu kwa ajili ya waTanzania masikini"