100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Samia ni mtoto wa kishua kwao mambo safi, magu amehasoIla huyu mwamba alikuwa anapenda sana kutuita ndugu zake
Si huyu bi kizimkazi anatuona kama mang'ombe tunasumbua. Muda mwingi anatamani awe angani kuliko kukaa na wananchi
Alikua ni msikilizaji mzuri wa wanyongeArooo....
Ebu muacheni huyo mama, ebu nani... mpeni huyo mama maiki nimsikilize...π€£
"Najua mtauliza hizi pesa zote mnazitoa wapi? Ndugu zangu nchi hii ni tajiri sana"Nchi hii ni tajiri sana.
πππJPM akiwafundisha watu kukwepa ushuru wa mazao.Aliwaambia usibebe tani 1 kwa mkupuo watakudai tozo.Bebe kidogo kidogo .Ukikutana na hao wakusanya tozo wakikuomba tozo wajibu ' kichwa kama tozo' halafu chapa lapa.
Na tunaendelea kuibiwaHiii nchi tumeibiwa vyakutosha.nahuo ndio ukweli ndugu zangu.
πππ"Niliwekewa Sumu kwenye Maiki na Mawaziri wakubwa..."
"Asiyefanya kazi na asile, na asipokula Afe"...
Alikua mzalendo wa kweli. Sio hawa wanaohubiri uzalendo kwa raia alaf wao sio wazalendo
Nilichomuelewa Jpm, kama kuna watu aliwaumiza ni kwa ajili ya Tanzania.
Hakuamini kama siasa na demokrasia ingeleta maendeleo.
Aliona Tanzania ipo nje ya muda katika kila nyanja, hivyo alikua na mipango na mikakati yake binafsi kichwani kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Aliyempinga alimuona ni mpingaji wa maendeleo na hawatakii mema waTanzania.
Alikua yupo radhi kufanya maamuzi magumu na kukubali lawama lakini kikubwa nchi ipige hatua.
Jpm alikua na ideologies zake ambazo wengine walimuona dictator, lakini kwa nchi ilipokuwa imefika naungana na Jpm.
"Nimesacrifice maisha yangu kwa ajili ya waTanzania masikini"
Kama ukielewa Jpm alichokuwa anaiwazia Tanzania , nathubutu kusema alikua mzalendo.Alikua mzalendo wa kweli. Sio hawa wanaohubiri uzalendo kwa raia alaf wao wenyewe sio wazalendo
"Ndugu zangu ipo siku mtanikumbuka, ipo siku mtanikumbuka na ninajua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya"Andika msemo au kauli moja kutoka kwa raisi wetu kipenzi cha watanzania Pombe Magufuli ambao unaukumbuka. Andika msemo huo mpaka msomaji akisoma asisimke ausome msemo huo kwa sauti ya Magufuli.
Mie naanza " Mimi nataka kama ni kunipenda, mnipende kwa ajili ya kazi. Kama ni kunichukia mnichukie kwa ajili ya kazi. Lakini nataka niwaambie ndugu zangu wa ukerewe na watanzania kwa ujumla, kwa haya tunayoyafanya matokeo yake mtayaona. Siku moja mtakuja kuzungumza alikuwepo kamagufuli"
"Basi kama tumerogwa mtuombee nyinyi mapadri, wachungaji, mashehe kama ni mapepo basi yaondoke. Na ndo maana mtu ukizungumza kutetea maslai ya nchi unaonekana you are different. Mtu amechaguliwa na watu unakuta kwenye jimbo lake umasikini mkubwa lakini anatetea haya ya upumbavu ( ufisadi). Maslai ya nchi is not politics, ni watu tuonaowaongoza"
"Na nataka niwaeleze ndugu zangu mimi sipendi sana kusafiri kwa sababu ninapenda kubana matumizi, nimealikwa sehem nyingi nimealikwa Ulaya na sehem zingine bado sijaenda"
Wee unakumbuka msemo gani wa Mgufuli?