Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,468
- 5,060
Kweli, kwanini labda....🤔🤔🤔Mwalimu
Evening lady,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli, kwanini labda....🤔🤔🤔Mwalimu
Kweli kabisaa jamani my dear!!Kweli, kwanini labda....[emoji848][emoji848][emoji848]
Evening lady,
Unaweza ukawa na daktari na unachat naye lkn kwa tabia ya kuchagua ukamkataa
Usijari kabisa my lady, huyu Zero IQ ni jamaa angu sana ila naona sasa amesahau mipaka yake ndio mana najaribu kumkumbusha tu, wafanye wengine wengine ila sio yeye,😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mejikuta nacheka tuuu aki! Am sorry my dear
Nimekuelewa sana sana, ila kama ulivyosema kwa kiasi frani walimu wapo vizuri kwenye malezi, nakubaliana na wewe.👏👏Kweli kabisaa jamani my dear!!
Nawapenda tuu walimu jamani, wanarudi nyumbani kwa wakati, wana muda mrefu wa kupumzika nazungumzia likizo! Kwenye suala la malezi utakuwa umenielewa vyema!
Seriously, natamani future husband awe mwalimu!
Vipi wewe eti, sijaona jibu lako!Nimekuelewa sana sana, ila kama ulivyosema kwa kiasi frani walimu wapo vizuri kwenye malezi, nakubaliana na wewe.[emoji122][emoji122]
Unaweza ukawa na daktari na unachat naye lkn kwa tabia ya kuchagua ukamkataa
Sent using Jamii Forums mobile app