mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipo tofauti na wewe ingawa napenda zaidi awe muelewa na mwenye uwezo wa kuchanganua mambo mbali mbali, mwenye uwezo wa kujisimamia ila pia mtulivu asiwe muongeaji sana na akiwa mcheshi itapendeza zaidi.[emoji4][emoji4][emoji4]Vipi wewe eti, sijaona jibu lako!
Wakufiane au wafanyaje😂😂😂😂
HallelujahSipo tofauti na wewe ingawa napenda zaidi awe muelewa na mwenye uwezo wa kuchanganua mambo mbali mbali, mwenye uwezo wa kujisimamia ila pia mtulivu asiwe muongeaji sana na akiwa mcheshi itapendeza zaidi.[emoji4][emoji4][emoji4]
NB: Awe mfanyakazi au mfanya biashara.
Sent from my V5_Plus_Lite using JamiiForums mobile app
Hata yule mama msamalia hakumtambua Yesu pale kisimani alipoomba maji ya kunywa...Unaweza ukawa na daktari na unachat naye lkn kwa tabia ya kuchagua ukamkataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen,hoping una zaidi ya hayo.😁😁Hallelujah
Mimi ni mkulima!Amen,hoping una zaidi ya hayo.[emoji16][emoji16]
Nayo ni kazi....!😄😄😄Mimi ni mkulima!
Sijapanda mengine bado dear, ndo najipanga next year feb ama March Mungu akitupea uzima!Nayo ni kazi....![emoji1][emoji1][emoji1]
Sorry, baada ya yale mazao yako kwenda na maji ulipanda mengine my lady.
Tuombe kheri tumalize vyema siku chache zilizobakia kufunga mwaka, naamini mipango yako itakamilika vyema, ingawa shamba si linatakiwa liandaliwe mapema kabla ya msimu wa kupanda.Sijapanda mengine bado dear, ndo najipanga next year feb ama March Mungu akitupea uzima!
Aimen MkuuDream come true bila shaka utampta mkuu maana walimu ni wengi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ni mwaminifu, atatuvusha salama dear!!Tuombe kheri tumalize vyema siku chache zilizobakia kufunga mwaka, naamini mipango yako itakamilika vyema, ingawa shamba si linatakiwa liandaliwe mapema kabla ya msimu wa kupanda.
Sired imekosa like maana unataka wenzio waseme we ulaleNi simple tu,
Andika kazi ya mme/mke wako ambayo unataka awe nayo?
Cc Zero iq
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, ila jitahidi utimize yale uliyoyapanga, Mungu akutangulie.Mungu ni mwaminifu, atatuvusha salama dear!!
Kuandaa na kupanda miche vyaweza kwenda sambamba tuu, itategemea nafasi yangu toka kwa mkoloni dear
AimenSawa, ila jitahidi utimize yale uliyoyapanga, Mungu akutangulie.
Asante, nawe pia barikiwa princess,Aimen
Atutangulie sote dear!! Barikiwa sana jamani