Unatapeli watu kwa ku trade forex sioMi Niko hapa mjini Ontario🙂
Mkuu umechanganya madesa, hamna uhusiano wa mimi kuishi Ontario na kutrade forex...Unatapeli watu kwa ku trade forex sio
Acha maneno ya taarabu za mmeo young killer yatakutokea puani na makalioniMkuu umechanganya madesa, hamna uhusiano wa mimi kuishi Ontario na kutrade forex...
Pambana na hali yako mzee baba
Mkuu young killer ndo nan, usifikiri unamjua kila mtuAcha maneno ya taarabu za mmeo young killer yatakutokea puani na makalioni
we ndo cha tall mwenyew au MkolumijeiNipo magogoni.
MmeoMkuu young killer ndo nan, usifikiri unamjua kila mtu
2kana2 weee banned inaonekana weee ni baamediKwaiyo unataje nikutukane na wewe?
inaonekana kweli huyu kachafukwa hadi rohoMmeo
nipo Pyongyang mtaa wa cheon-doo
mi naelekea k.kooNipo kwenye basi la mwendokasi hapa daraja la jangwani naelekea Mapipa
Nimekuona, tumepshana aseemi naelekea k.koo
Nipo milimani cityMimi nipo DSM -Ukonga-Markaz mtaa wa Kwa Temba
=====
Kama unahisi unatafutwa na hutaki kujulikana taja mtaa wa uongo ambao hata haukai huo.Huo huo mtaa mtaa wa uongo utampata jirani yako wa uongo
Hivi Tecno Y4 zinadaka network ya Marekani[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]