NaseebAbeid
Member
- Dec 31, 2017
- 5
- 2
MBAGALA ZAKHIEM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unataka kui-fb, jf yetu?!..Mimi nipo DSM -Ukonga-Markaz mtaa wa Kwa Temba
=====
Kama unahisi unatafutwa na hutaki kujulikana taja mtaa wa uongo ambao hata haukai huo.Huo huo mtaa mtaa wa uongo utampata jirani yako wa uongo
Hizi mambo za kutafutana mahali unapokaa ni style ya kuja kufanyana km Saa8 ama Nyalisu.....tumekustukia we tuache tuu hatuhitaji kujuana unavyotaka wwMimi nipo DSM -Ukonga-Markaz mtaa wa Kwa Temba
=====
Kama unahisi unatafutwa na hutaki kujulikana taja mtaa wa uongo ambao hata haukai huo.Huo huo mtaa mtaa wa uongo utampata jirani yako wa uongo
Mke nakusalimiaaMwishowe mtataka na majina yetu
Niko under the world [emoji288] karibu no uhai wa ardhiMimi nipo DSM -Ukonga-Markaz mtaa wa Kwa Temba
=====
Kama unahisi unatafutwa na hutaki kujulikana taja mtaa wa uongo ambao hata haukai huo.Huo huo mtaa mtaa wa uongo utampata jirani yako wa uongo
Hapo Songea kuna mtaa unaitwa wa Zanzibar, pale pale mjini.Niko songea wilaya ya ilala kata ya lushoto mtaa wa Zanzibar.
umerudi lini kutoka dodoma?Mimi nipo DSM -Ukonga-Markaz mtaa wa Kwa Temba
=====
Kama unahisi unatafutwa na hutaki kujulikana taja mtaa wa uongo ambao hata haukai huo.Huo huo mtaa mtaa wa uongo utampata jirani yako wa uongo
Dada angu niambie uko wapi nataka nikuletee zawadi![emoji53][emoji53][emoji53]Mwishowe mtataka na majina yetu
Aende pm ya kila mtu?[emoji32][emoji32][emoji32]Si uende PM. Hahahaaaa.