Andika tabia usiyoipenda ya baadhi ya member wa JF

Kama ambavyo hii post haikusaidii chochote. Sijui na wenzio wakereke kwa wewe kuanzisha huu uzi.

Uzuri kwamba humu kuna kanuni. Ili mradi mtu havunji kanuni wewe unakerekwa na nini.

Maisha sio magumu kiasi hiki.
 
Kweli watu tunatofautiana,honestly sijawai kukerwa na member yoyote humu.Kwanza nakerekaje Kwa michango(mawazo)ya watu nisio wajua physically zaidi ya maandishi.
 
Wewe uzi wa nini?
 
`Mbeee` ngoja nishangae kikanda maalum. Ila kuna watu wana vituko sana humu duniani haha!
[emoji23][emoji23][emoji23] mko jukwaa la siasa mtu anakuja na link 'vipi ulipona kisonono'?
 
Huwa sikereki bali najifunza mengi hasa kwa haters.. Kwakuwa wananifunza kuwa makini na bora zaidi.... Bila kufahamu kuwa wananishape wao hudiss, hukejeli na kutusi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…