Hivi Kiranga hua unasoma au kukumbuka ulichoandika?Si kweli.
JF ina watu wa kila aina wenye mawazo tofauti. Inapatikana sehemu tofauti, na watu wenye elimu na uchumi tofauti.
Ndiyo maana wengine wanakera wengine.
Wote tungekuwa wasomi na tuna mawazo sawa, hakuna mtu ambaye angemkera mwingine.
Unayejichanganya ni wewe.
Ok thanks [emoji120] thanksLengo la uzi ni kuonyana, kuna tabia nyingi humu si nzuri mfano watu kuendekeza matusi. Uzi huu una lengo la kuwataka watu kuacha tabia za ajabu ajabu.
Halafu kaileta chit chat mwenyewe atanisamehe kwakweli [emoji134][emoji134]Namba moja inanihusu, utanisamehe siachi
Sio wivu, ila unauta wakati mwinine hana cha ku commentHuu sasa mbona kama wivu vile?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile ni signature wamewekaKuna mtu mmoja kila comment yake lazima amtag mtu fulani....yaani wanafuatana kama ruba.... Wananikera sana
Bila shaka mnawajua
KumbeeeIle ni signature wameweka
Ile ni signature wameweka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sipend mtu kunilazimisha kumpenda nisiyempenda
#timudomomnikome
Tuzogoe tu hakuna namna. Mwenza umepotea sanaHalafu kaileta chit chat mwenyewe atanisamehe kwakweli [emoji134][emoji134]
Ina raha yakeMwana wa pakaya fanya uache mkuu
Am glad!Salama kabisa.
Hujalala kabisa nahisisaanaa...yan linaniamsha
Haha! Watu ar so funnyKuna mtu mmoja kila comment yake lazima amtag mtu fulani....yaani wanafuatana kama ruba.... Wananikera sana
Bila shaka mnawajua