Andika umri wako na jambo usiloweza kulifanya

Andika umri wako na jambo usiloweza kulifanya

Mwana jopo kheri ya mwaka mpya.

Katika uzi huu tunaenda kuandika umri wetu na mambo ambayo kamwe hatuwezi kuyafanya katika umri huo.


Nitaanza na Mimi mwenyewe.
Nina miaka 35
Siwezi kuwa mnafki. (Kujifanyisha)


State your age and something you can't do

Me: 35 and I can't pretend.
36 namtaka huyo nafasi ya kwanza ku-coment

Sent using Jamii Forums mobile app
 
13 - Mimi siwezi kuandika miaka yangu ya ukweli
 
Aisee hiyo kitu ni ufala uliotukuka (in GENTAMYCINE's voice ...niliharisha siku tatu mfululizo baada ya kuzama chumvini ...nmeapa sirudii[emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
ulipozama chumvini ndio siku ulipoizima nyota aliokujalia MUNGU kila binaadam ananuru alojaaliwa na muumba ktk paji la uso wake linalofanya mtu aendelee kuonekana baraka mbele kila amtazamae.kupeleka sura huko ni kujinuksi kabisa ewe kijana usijaribu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom