Andika usichokipenda humu JamiiForums

Andika usichokipenda humu JamiiForums

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe unamjua eenh hao wananikera sana hivi kwa ninii wanatufanya sisi watoto au mtu mmoja ana I'd 3 anajibishana nazo watu mnaona wapo busy na mahaba kumbe ni jeshi la mtu mmoja jf hapana
Stress mbaya asikwambie mtu
 
Beira anaombwa pesa?
duh !kulikua na uzi fulan last week nilitagiwa na watu kibwena !analalamika kuwa na yeye wanawake ',maarufu' jf huwa wanamsumbua kwa kumuomba pesa ! alikua na yule sapota mwenzake anaesema anatongozwa na wanawake wa jf!
mie sijui km nimewa muomba mtu pesa hata ya vocha humu !ila najikutaga salio linasoma tu !
ahsanten marafiki wapenziiiiiiiiii kwa kunithamini !lol
 
duh !kulikua na uzi fulan last week nilitagiwa na watu kibwena !analalamika kuwa na yeye wanawake ',maarufu' jf huwa wanamsumbua kwa kumuomba pesa ! alikua na yule sapota mwenzake anaesema anatongozwa na wanawake wa jf!
mie sijui km nimewa muomba mtu pesa hata ya vocha humu !ila najikutaga salio linasoma tu !
ahsanten marafiki wapenziiiiiiiiii kwa kunithamini !lol
Hao marafiki wapenzi wasalimie sana jaman huku pm kwangu ni salaam tu zimejaa
 
duh !kulikua na uzi fulan last week nilitagiwa na watu kibwena !analalamika kuwa na yeye wanawake ',maarufu' jf huwa wanamsumbua kwa kumuomba pesa ! alikua na yule sapota mwenzake anaesema anatongozwa na wanawake wa jf!
mie sijui km nimewa muomba mtu pesa hata ya vocha humu !ila najikutaga salio linasoma tu !
ahsanten marafiki wapenziiiiiiiiii kwa kunithamini !lol
Khaaaaa sikuuona uzi jomonii
 
Stress zao wapambane nazo wenyewe wasituletee sisi ila kuna vitu demi haviji hivi unaanzaje kujijibisha na I'd zako
mie nahis kam unaenda mbali zaid !yes umepata mwanamke jf mmekutana mkajikuta mmeenjoy ngono ! kinakuchokuwasha kuja kujiexpose hvyo ni nn sasa ohh mie nina pumzi n blah blah kibao hahaha kama na wewe hujiuzi ni nn !imagine mfano wewe ukutane na Slim5 alafu muanze kutuelezea mlivyofinyana lodge si wehu huu jaman !khaa
grow up rafiki
 
Back
Top Bottom