Andika usichokipenda humu JamiiForums

dina ninapigiwa simu na watu kila mtu ananiambia we ni mbiti?? aksiema hvyo najua ni jf iweje huyu aanze kujitia maneno kuhus namba yangu !hahahah jaman mie sijui unitishie kitu gan ndo niogope !mume wangu ananjiuaga vzr aisee
Kumbe Umeolewa alafu Unadanga Kwa Putini. Hahaha hahaha Lazima Akuzqrau[emoji28] [emoji28]
 
Wakwanza Kukuzarau Huku. Wanakusema eti Haujaenda Shule. Njoo Uwaanike Pm Zao Hapa hawa wadangaji
 
Mbiti mama hujambo?
 
Kumbe!! Dah!
 
Good morning fundi
Unapotea mno na wewe fundi mkuu, au ndo una hasira za kukaa lupango kwahiyo unalipa zile siku hukuwepo kwa kaka mkubwa ! [emoji3] [emoji3] [emoji3] good morning fundi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…