Kumbe Umeolewa alafu Unadanga Kwa Putini. Hahaha hahaha Lazima Akuzqrau[emoji28] [emoji28]dina ninapigiwa simu na watu kila mtu ananiambia we ni mbiti?? aksiema hvyo najua ni jf iweje huyu aanze kujitia maneno kuhus namba yangu !hahahah jaman mie sijui unitishie kitu gan ndo niogope !mume wangu ananjiuaga vzr aisee
Wakwanza Kukuzarau Huku. Wanakusema eti Haujaenda Shule. Njoo Uwaanike Pm Zao Hapa hawa wadangajiAlafu mbn upo interested sana na shule yangu ??? Nilishakuambia usipende kuzungumzia mambo ya elimu yangu humu majukwaan ,, hivi nikikuzungumzia kindaki ndaki hapa majukwaan ,utajisikia poa ???.
Tuliza mdomo wako basi ,,mbn najitahidi kukaa kimya lkn unanichokonoa ??? Haaaaa ?? Tulia basi ,Naukome kabisa kuzungumzia masuala ya elimu yangu humu ,upo !!!. Namm nitaanza kukuzungumzia ili tuende sawa .
Bahati nzuri hauna nisichokijua kwan 0713........633 ....hiii namba bado unaitumia ???.
EhehehehWewe Unadanga Humu ndani. Nitakuzarau Hadi Kesho.[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] putin
Unawayaa waya kwa vile putin hayupo hapa,,saa zile kaja ukamkimbia nimekudharauu sanaaUkisema putini Siyo mpenzi Wako Lazima Ataanika pm zako Hapa Na Tutakuzarau wote
Tupo sema ndio vile tunachingulia chungulia Ila soon tupo pamoja.Mzee mkubwa sikuoni sikuhizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kumbe bado anasoma?
Beira boy kaagaa anaenda shule,putin nae ataaga lini sasa
Mbiti mama hujambo?Vladimirovich Putin yaan narudia kukuambia hivi ! hebu nielewe kwanza !nitakuwa mtu wa ajabu eti nikuonee wivu wewe !siye kuna maneno tumetokea kuyapenda ndo hayo tunayazungumzia kila tukionana !neno nimekudharau,mnajiuza ,ptu,siwaogopi tumejikita tunayapenda kuyaongea popte pale !aisee aliyesoma na mm atanijua nilivyo !jaman mie huwa siogopi mtu kwanza siwez ! yaan wewe hata unipige za uso vipi mie huwa sisumbuki !so nisicomment kisa wewe na kapeace ?? kwasabb zipi kwanza !hahaha aisee !hebu fanya yako nitacheka nitakapopenda na kucomtn niwezavyo !
i wish unifaham na mie background zangu !
hebu kuwa na aman na kapeac wako !
yaan namie nina kaukichaa Sema siwez kushindana na wanafunzi wa vyuo vilivyokosaga USAJILI yaan usituone wepesi kihivyoo !acha mikwara mbuzi hyo wewe !
SITAKUJIBU TENA !kwasababu mwenzako nipo mbali sana na ww kivyovyote vile(yaan wewe hata unifukuzieje hunikuti ng'o) !
bye
Hii battle si ya kitotoHiv shida ni nini hasa mpaka mnachimbana mikwala kiasi hiki kwanini mmoja asijifanye mjinga tu yakaisha kwani utapungukiwa nini
Good morning fundiNakupata nakupata fundi mkuu wangu, mpe salamu fundi mkuu mwenzio
Kila siku lazima upitwe, nani anakufichaga?Hahahaaaaa!! Kwa raha zetu yaani, raha twajipa wenyewe.
Nimechelewa aisee, kumbe kulinoga hivi!!!???demi njoo pande hizi huku
mama nilikumiss kinoma jana !nilitapika kias chakeMbiti mama hujambo?
Kumbe!! Dah!hhaha namfaham vlad kijuu juu tu ! kuna mtu aliwaj nijia pm akaniambia vlad ana maneno mazuri na amevutiwa naye nikamshauri kihenga kuwa huyo nimtoto achana naye hahaha bi bidada akayapeleka km yalivyo !ndo chanzo cha haya maneno !alikua mshikaj hatar yaan ile ya kuitana majina mabayaa we paka upo nimekumis nyau wangu !mara muitane mbweha things like tht ! sasa bidada akamwambia nilivyomchana !hahaha vlad alikua mshikaj haipit siku msichat !sijaruka popote kuwa hakuwa mshikaji ! na nilishindwa kucope naye yeye alikua field nikawa nashindwa kuchat naye !hahah uwii
sasa jeKumbe!! Dah!
Jana nilikosa bando. Madanga yaligoma kuwajibika, tehmama nilikumiss kinoma jana !nilitapika kias chake
Unapotea mno na wewe fundi mkuu, au ndo una hasira za kukaa lupango kwahiyo unalipa zile siku hukuwepo kwa kaka mkubwa ! [emoji3] [emoji3] [emoji3] good morning fundi mkuuGood morning fundi
Yaani kazi yangu kubwa ilikuwa nawaz00m mwanzo mwishoNimechelewa aisee, kumbe kulinoga hivi!!!???
Ulitema nyongo, sumu ilitapakaa mwilini [emoji1] [emoji1] , umeamkaje MBITI.....mama nilikumiss kinoma jana !nilitapika kias chake
Poooleee poooleeee fundi mkuuJana nilikosa bando. Madanga yaligoma kuwajibika, teh