Andika usichokipenda humu JamiiForums

Andika usichokipenda humu JamiiForums

Humu tunawezaje kufuta Uzi uliouandika? Kama haiwezekani basi Sipendi Pia.
 
1.Kuandika stori yako alafu inaunganishwa na nyingine.
2.Ku quote thread ndefu
 
HAKUNA KINACHONIUDHI KAMA MEMBER KUTOKUWA NA UWEZO WA KUFUTA THREAD YAKE MWENYEWE! ACHILIA MBALI HATA KUBADILI HEADING YA THREAD TU! INANIKERA SANA! HAKA KAURASIMU.
 
HAKUNA KINACHONIUDHI KAMA MEMBER KUTOKUWA NA UWEZO WA KUFUTA THREAD YAKE MWENYEWE! ACHILIA MBALI HATA KUBADILI HEADING YA THREAD TU! INANIKERA SANA! HAKA KAURASIMU.
Mimi ni muhanga Wa hyo Kitu
 
Binafsi siwapendi watu wanaokua wakwanza kuchangia Uzi wowote ule, lakini uchangiaji wao unakua kama hivi,,Ngoja waje, subiri wanakuja,,,.Kiukweli hua nachukia sana na hawa watu.
Hahaaaa!! Utoto tu huo, wakikua wataacha.
 
Hivi unahisi **** yangu haina kazi mpaka nikupe MTU kama wewe...hata kama haina macho naona unautafutia kiki Uzi wako kilazima
Sizani Kama Ulifikilia Hilo Kabla Ya Kuvua. Ungeliwaza Hilo Usingejileta Hapa Na Kujibu Huo Utumbo.
 
Mxieeee umevurugwa au vyuma vimekukaza post hayo mambo yangu wewe vipi
Huyu Ndiyo Malaika Niliemtafuna Anajaribu Kujifaragua Humu. Time Will Tell its better You Can Mute Asee Maana Hapa Utaaibika Tu.
 
wanahisi wakitupa huo uhuru huu umangi meza wao kumbembeleza mod afute thread yako utakuwa ndio basi. maana wanapenda kunyenyekewa mno.
Hawa Ni Majipu Kabisa. Kila Kitu Wanataka Walambwe Miguu ....
 
Back
Top Bottom