Andika usichokipenda humu JamiiForums

Andika usichokipenda humu JamiiForums

Toka Lin ,unaanza kwenda kazini bila kuandaa chai??

Mima white cute ila usijali nmetengeza tayar ,ungependa nikuletee hapo hapo au utarudi home ?.
mmh acha tu kazi zikikuzidi some times unasahu mpaka kama kuna kula..@Vladimirovich Putin ukiniletea itapendeza.

Naona kuna MTU anataka kuniharibia siku hapo juu anafosi kunifahamu mxiee zake.
 
mmh acha tu kazi zikikuzidi some times unasahu mpaka kama kuna kula..@Vladimirovich Putin ukiniletea itapendeza.

Naona kuna MTU anataka kuniharibia siku hapo juu anafosi kunifahamu mxiee zake.
Haaaaaaa MTU anayekugusa mschana Wangu nisawa amenigusa Mimi moyon mwangu ,tena amenigusa kwa kitu chenye ncha Kali.

Wakuache tu kwakweli Mima white cute maana wewe ndo furaha yangu ,, nasiwezi kutulia kuona unaninyima furaha sababu tu umekwazwa na MTU .
 
Haaaaaaa MTU anayekugusa mschana Wangu nisawa amenigusa Mimi moyon mwangu ,tena amenigusa kwa kitu chenye ncha Kali.

Wakuache tu kwakweli Mima white cute maana wewe ndo furaha yangu ,, nasiwezi kutulia kuona unaninyima furaha sababu tu umekwazwa na MTU .
kwakweli waniwache tu huyu mburula nishajua lengo lake anataka anigombanishe nawe my baby ili nionekane mm nadanga humu ndani anikomee kwakweli na lengo lake nishalijua.

Maana namuona kaniquote mm ujinga wake wake kacuquote na wewe ashindwe kwa jina LA yesu
 
kwakweli waniwache tu huyu mburula nishajua mengi lake anataka anigombanishe nawe my baby ili nionekane mm nadanga humu ndani anikomee kwakweli na lengo lake nishalijua.

Maana namuona kaniquote mm ujinga wake wake kacuquote na wewe ashindwe kwa jina LA yesu
Hapana kugombanisha hawezi maana Mungu alinipa Akili ,isipokua nikujaribu kutafuta majibizano tu ili akujue zaidi wewe ninani ?.

Mimi nachojua kwa Mima white cute nipo peke yangu !!.
 
Hebu achana na Mimi mpuuzi wewe usinipigie kelele na usilazimishe kunijua kama unakazi kafue chupi zako ulale nyang'au wewe
Nimekwambia Ukae Kimya Hutaki, Sasa Mimi Na wewe Nani Anstahili Kufua Chupi. Umesahau Pale Kimara Ulifua Kichupi Chako Ukaweka Kwenye Pochi Ukisema Utakianika Ukirudi Kwako? Au siyo Wewe... Hakyanani Kama Mkuki Tu Jamaa Wako Atauvumilia Tu Ajipangeeeee.
 
mmh acha tu kazi zikikuzidi some times unasahu mpaka kama kuna kula..@Vladimirovich Putin ukiniletea itapendeza.

Naona kuna MTU anataka kuniharibia siku hapo juu anafosi kunifahamu mxiee zake.
Unajulikana From Bottom, Middle(Inner),To The Top..... Sijui Utasonya Vingapi Malaika Wewe... Acha Kabisa Kaa Kimya Maana Utawaita Watu Wajazane Humu Pasi Na Sababu Ya Msingi
 
Haaaaaaa MTU anayekugusa mschana Wangu nisawa amenigusa Mimi moyon mwangu ,tena amenigusa kwa kitu chenye ncha Kali.

Wakuache tu kwakweli Mima white cute maana wewe ndo furaha yangu ,, nasiwezi kutulia kuona unaninyima furaha sababu tu umekwazwa na MTU .
Mkuu Chonde Chonde Usije Humu Maana Ni Makubw Na Utaumia Kweli.. Bora Tuu Tuwe Kimya Yaishie Hapa ILa Ni Makubwa Na Yanaumiza Sana.
 
kwakweli waniwache tu huyu mburula nishajua lengo lake anataka anigombanishe nawe my baby ili nionekane mm nadanga humu ndani anikomee kwakweli na lengo lake nishalijua.

Maana namuona kaniquote mm ujinga wake wake kacuquote na wewe ashindwe kwa jina LA yesu
Yani Wewe Kama Ni Danga Mimi Cjui Ninachojua Ni Kuwa I Know You In And Out Sasa Kama Wengine Wanakujua Mimi Hayo Siyajui...Any way I am done Ngoja Nivunge Yaishie Hapa.
 
Back
Top Bottom