Andika usichokipenda humu JamiiForums

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mmoja ana id mbili..moja ya me nyingine ya ke. Madai yake huyo ke ndo demu wake, basi kazi aliyonayo kujibebisha huku na huku si mchezo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe unamjua eenh hao wananikera sana hivi kwa ninii wanatufanya sisi watoto au mtu mmoja ana I'd 3 anajibishana nazo watu mnaona wapo busy na mahaba kumbe ni jeshi la mtu mmoja jf hapana
 
Yaan wanapenda kuomba no utafikili anaweza kukutumia hata elf 2 ya voucher kumbe anataka kuendeleza salaam zake na kukuchungulia kwa dp
Yap hapa nataka nije nibadili namba ya whatsapp,,yaan ni kusalimia tu utafikiri sie tunapenda salamu
 
Bora wewe sie ni salam mwasho mwisho inabidi nikugawie ,,yanatia gundu tu
Eti mwisho 20
 
Hhhhaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…