Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Sitaki kujua sana kuhusu huyu Mungu wa namna hii ila maagizo yake kwa watu wake hayapaswi kuendelea kuchukuliwa kawaida kwani yanahamasisha na kuchochea mauaji makubwa yanayo tekelezwa na Netanyahu na genge lake.
Kwa nini nimemtaja Netanyau katika hili ? Kwa sababu yeye kama waziri mkuu wa Israel ndie aliyeleta mjadala wa wa amaleki mezani akiwakumbusha Waisrael kuhusu habari za waamaleki kwa yanayo endelea kati yake na Hamas na Wapalestina.
Nini anacho maanisha Netanyahu katika hili ? Ni kuto waonea huruma hata kidogo Wapalestina kama yalivyo tendeka kwa waamaleki kuanzia wao wake kwa waume,watoto mpaka wanyama na ndicho kinacho endelezwa na majeshi yake mpaka sasa pale Palestine.
Sina hakika kama Netanyau anatekeleza maagizo yote ya Mungu wao kama anavyotaka au ndio anachukua yale yafurahishayo nafsi yake pekee kwa sababu Mungu wao hakuwahi wachekea na kuwakumbatia mashoga na wasagaji labda kama kabadilishwa.
Sasa na Netanyahu kwa ile ardhi Netanyau aiitayo ardhi takatifu imegeuzwa kuwa ardhi ya wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake kuoneshana ufundi wa mahaba( tuachane na haya wenda Mungu wao Netanyahu hubadilika au hubadilishwa kwa sababu mbalimbali turudi kwenye mauaji ya kutisha ya jenerali huyu kamanda wa vita Netanyahu)
1 Samweli akamwambia Sauli, “Mimi ndiye ambaye Bwana alinituma nikutie mafuta uwe mfalme juu ya watu wake Israeli, basi sasa sikiliza ujumbe kutoka kwa Bwana. 2 Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nitawaadhibu Waamaleki kwa kile walichowatendea Israeli walipowavizia wakati walipanda kutoka Misri. 3 Basi sasa nenda ukawashambulie Waamaleki na kuwaangamiza kabisa pamoja na kila kitu kilicho mali yao. Usiwahurumie; waue wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, ngʼombe na kondoo, ngamia na punda.’ ”
Hili andiko halina afya hata kidogo inanishangaza pamoja ya kwamba biblia imepokea maboresho kadhaa toka kuanzia Roma mpaka leo lakini bado andiko hili lina endelea kung'ang'aniwa kuwepo ndani yake sijui lengo lipi haswa ? Dunia nzima yote iteketezwe ?
Kwa nini nimemtaja Netanyau katika hili ? Kwa sababu yeye kama waziri mkuu wa Israel ndie aliyeleta mjadala wa wa amaleki mezani akiwakumbusha Waisrael kuhusu habari za waamaleki kwa yanayo endelea kati yake na Hamas na Wapalestina.
Nini anacho maanisha Netanyahu katika hili ? Ni kuto waonea huruma hata kidogo Wapalestina kama yalivyo tendeka kwa waamaleki kuanzia wao wake kwa waume,watoto mpaka wanyama na ndicho kinacho endelezwa na majeshi yake mpaka sasa pale Palestine.
Sina hakika kama Netanyau anatekeleza maagizo yote ya Mungu wao kama anavyotaka au ndio anachukua yale yafurahishayo nafsi yake pekee kwa sababu Mungu wao hakuwahi wachekea na kuwakumbatia mashoga na wasagaji labda kama kabadilishwa.
Sasa na Netanyahu kwa ile ardhi Netanyau aiitayo ardhi takatifu imegeuzwa kuwa ardhi ya wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake kuoneshana ufundi wa mahaba( tuachane na haya wenda Mungu wao Netanyahu hubadilika au hubadilishwa kwa sababu mbalimbali turudi kwenye mauaji ya kutisha ya jenerali huyu kamanda wa vita Netanyahu)
1 Samweli 15
Bwana Anamkataa Sauli Asiwe Mfalme1 Samweli akamwambia Sauli, “Mimi ndiye ambaye Bwana alinituma nikutie mafuta uwe mfalme juu ya watu wake Israeli, basi sasa sikiliza ujumbe kutoka kwa Bwana. 2 Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nitawaadhibu Waamaleki kwa kile walichowatendea Israeli walipowavizia wakati walipanda kutoka Misri. 3 Basi sasa nenda ukawashambulie Waamaleki na kuwaangamiza kabisa pamoja na kila kitu kilicho mali yao. Usiwahurumie; waue wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, ngʼombe na kondoo, ngamia na punda.’ ”
Hili andiko halina afya hata kidogo inanishangaza pamoja ya kwamba biblia imepokea maboresho kadhaa toka kuanzia Roma mpaka leo lakini bado andiko hili lina endelea kung'ang'aniwa kuwepo ndani yake sijui lengo lipi haswa ? Dunia nzima yote iteketezwe ?