Andiko la Thadei Ole Mushi lilivyonifikirisha

Andiko la Thadei Ole Mushi lilivyonifikirisha

Mimi si msomaji mzuri sana wa Maandiko Matakatifu , lakini ninafahamu kidogo kwamba ndani ya Biblia kuna kisa kilichomhusu Yesu na Petro , inaelezwa kwamba Petro alijaribu kupita Juu ya Maji kama alivyokuwa anafanya Yesu , yaani Yesu alikuwa na kawaida ya kukatiza tu Juu ya Maji bila kuzama kama sisi tunavyokatiza barabarani , sasa Bwana Petro naye akaona ngoja apite juu ya Maji kama Yesu alivyokuwa anafanya .

Maandiko Matakatifu yanaeleza kwamba , baada ya kujaribu tu Petro akaanza kuzama , baada ya kuona hivyo haraka sana Petro akamwita Yesu na kumuambia Yesu amshike mkono kumuokoa ili asizame , inadaiwa kwamba Bwana Yesu akanyoosha mkono akamshika Petro na kumuokoa na hakuzama tena , Wanazuoni wanasema kwamba Iwapo Ndugu Petro angenyamaza kimya bila kuomba msaada wa Yesu basi bila shaka angezama na pengine angeliwa na Mamba .

Andiko hili linatufundisha kwamba tunapopatwa na matatizo , tusinyamaze , tufungue vinywa vyetu kuomba Msaada ili tuokolewe

View attachment 2894079
Aliandika at gun point
 
Mimi si msomaji mzuri sana wa Maandiko Matakatifu , lakini ninafahamu kidogo kwamba ndani ya Biblia kuna kisa kilichomhusu Yesu na Petro , inaelezwa kwamba Petro alijaribu kupita Juu ya Maji kama alivyokuwa anafanya Yesu , yaani Yesu alikuwa na kawaida ya kukatiza tu Juu ya Maji bila kuzama kama sisi tunavyokatiza barabarani , sasa Bwana Petro naye akaona ngoja apite juu ya Maji kama Yesu alivyokuwa anafanya .

Maandiko Matakatifu yanaeleza kwamba , baada ya kujaribu tu Petro akaanza kuzama , baada ya kuona hivyo haraka sana Petro akamwita Yesu na kumuambia Yesu amshike mkono kumuokoa ili asizame , inadaiwa kwamba Bwana Yesu akanyoosha mkono akamshika Petro na kumuokoa na hakuzama tena , Wanazuoni wanasema kwamba Iwapo Ndugu Petro angenyamaza kimya bila kuomba msaada wa Yesu basi bila shaka angezama na pengine angeliwa na Mamba .

Andiko hili linatufundisha kwamba tunapopatwa na matatizo , tusinyamaze , tufungue vinywa vyetu kuomba Msaada ili tuokolewe

View attachment 2894079
Andiko hili linatufundisha kwamba tunapopatwa na matatizo , tusinyamaze , tufungue vinywa vyetu kuomba Msaada ili tuokolewe
 
Alitakiwa aseme ukweli ili asaidiwe , anayeendelea vizuri huwa anakufa ?
Huenda hata hilo bandiko hakuandika yeye. Labda aliandikiwa akiwa hajui chochote. CCM ni majanga. Hata Gambo ajiangalie sana. Makonda yeye alisema amenusurika mara kibao. Polepole akasema yeye hao wahuni hawamuwezi. Duuuh! Mwakyembe anamtukuza Muumba wake. Kolimba...
 
Mbona alikuwa mpambanaji mzuri wa kuipambania ccm?. Je, kuna kosa lolote recorded juu yake? Au WAHUNI?
Alikuwa na msimamo tofauti na chama chake juu ya suala la Katiba mpya na pia aliwahi kuhitilafiana na aliyekuea KM Chongolo, si unajua CCM ukiwa mkweli na muwazi unaonekana msaliti
 
Back
Top Bottom