mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Tz imejaa uchafu sana kama ni mtu wa ibada huwezi ingia kwenye siasaAlitoa chafu nyingi inshort alimaanisha Ben alijiteka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tz imejaa uchafu sana kama ni mtu wa ibada huwezi ingia kwenye siasaAlitoa chafu nyingi inshort alimaanisha Ben alijiteka
Kwa hiyo laana imemtafunaAlitoa chafu nyingi inshort alimaanisha Ben alijiteka
Asante kwa TaarifaHuyu jamaa alitekwa kisha akalishwa sumu. Msomeni Kigogo2014, huwa habahatishi.
Hili kanusho aliliandika chini ya usimamizi wa wazee wa makotikoti. Ulitegemea aandike nini?
Kwani kuna mtu anajua atakufa namna? Kifo kisicho cha kizembe kikoje?Kila mtu atakufa ila epuka kufa kizembe.
Kwani kuna mtu anajua atakufa namna gani? Kifo kisicho cha kizembe kikoje?Kila mtu atakufa ila epuka kufa kizembe.
Kuna kiongozi WA CCM aliwahi kupanda jukwani na kusema kuwa "Wapinzani wa CCM hawatamalizwa kwa risasi tena bali kwa sumu". Simkumbuki yule mtuMimi si msomaji mzuri sana wa Maandiko Matakatifu , lakini ninafahamu kidogo kwamba ndani ya Biblia kuna kisa kilichomhusu Yesu na Petro , inaelezwa kwamba Petro alijaribu kupita Juu ya Maji kama alivyokuwa anafanya Yesu , yaani Yesu alikuwa na kawaida ya kukatiza tu Juu ya Maji bila kuzama kama sisi tunavyokatiza barabarani , sasa Bwana Petro naye akaona ngoja apite juu ya Maji kama Yesu alivyokuwa anafanya .
Maandiko Matakatifu yanaeleza kwamba , baada ya kujaribu tu Petro akaanza kuzama , baada ya kuona hivyo haraka sana Petro akamwita Yesu na kumuambia Yesu amshike mkono kumuokoa ili asizame , inadaiwa kwamba Bwana Yesu akanyoosha mkono akamshika Petro na kumuokoa na hakuzama tena , Wanazuoni wanasema kwamba Iwapo Ndugu Petro angenyamaza kimya bila kuomba msaada wa Yesu basi bila shaka angezama na pengine angeliwa na Mamba .
Andiko hili linatufundisha kwamba tunapopatwa na matatizo , tusinyamaze , tufungue vinywa vyetu kuomba Msaada ili tuokolewe
View attachment 2894079
Lisemwalo lipoHuenda alipangiwa cha kuandika
Andiko hili linatufundisha kwamba tunapopatwa na matatizo , tusinyamaze , tufungue vinywa vyetu
Petro pamoja na kuwa mwanafunzi wa Yesu lakini aliomba msaada , hakusubiri miujiza ndio awe Ole Mushi ?Mkuu Duh!
Nimesoma wee, nasikia unasema hakutafuta ushauri au usaidizi mapema!
Huwa namshangaa sana "mungu" wako. Mungu huyu mwenye madaraka ya kuumba na kutwaa roho atakuwa amekosea nini?
...au ndio kusema labda wewe ungeweza kumsaidia?
Kwani ulikuwa hujui anaugua, did you extend your help?
Huwa unasemaga 'Hakuna linalomshinda mungu' ameahindwa nini hapa?
Anyway niwachie hapo kwa sasa.
R.I.P Thadeo.
Sawa Mkuu.Petro pamoja na kuwa mwanafunzi wa Yesu lakini aliomba msaada , hakusubiri miujiza ndio awe Ole Mushi ?
Karibu sanaSawa Mkuu.
Amani ikutawale.
Binafsi sijasema hvoKwa hiyo laana imemtafuna
Andiko hili linatufundisha kwamba tunapopatwa na matatizo , tusinyamaze , tufungue vinywa vyetu kuomba Msaada ili tuokolewe
Sipo huko 😂😂😂Unamaanisha Accumen Mo ana darcity 😅🤣😆
Mtu akitumia hii kauli yaSIasa zenu mnapenda uzushi na kuleta taharuki ulichotaka kuwasilisha hakika unakijua mwenyewe baada ya kutopewa na ulanzi uliochanganya na komoni!
HakikaAndiko hili linatufundisha kwamba tunapopatwa na matatizo , tusinyamaze , tufungue vinywa vyetu kuomba Msaada ili tuokolewe
Sent using Jamii Forums mobile app