Andiko la Thadei Ole Mushi lilivyonifikirisha

Andiko la Thadei Ole Mushi lilivyonifikirisha

Huyu jamaa alitekwa kisha akalishwa sumu. Msomeni Kigogo2014, huwa habahatishi.

Hili kanusho aliliandika chini ya usimamizi wa wazee wa makotikoti. Ulitegemea aandike nini?
 
Mimi si msomaji mzuri sana wa Maandiko Matakatifu , lakini ninafahamu kidogo kwamba ndani ya Biblia kuna kisa kilichomhusu Yesu na Petro , inaelezwa kwamba Petro alijaribu kupita Juu ya Maji kama alivyokuwa anafanya Yesu , yaani Yesu alikuwa na kawaida ya kukatiza tu Juu ya Maji bila kuzama kama sisi tunavyokatiza barabarani , sasa Bwana Petro naye akaona ngoja apite juu ya Maji kama Yesu alivyokuwa anafanya .

Maandiko Matakatifu yanaeleza kwamba , baada ya kujaribu tu Petro akaanza kuzama , baada ya kuona hivyo haraka sana Petro akamwita Yesu na kumuambia Yesu amshike mkono kumuokoa ili asizame , inadaiwa kwamba Bwana Yesu akanyoosha mkono akamshika Petro na kumuokoa na hakuzama tena , Wanazuoni wanasema kwamba Iwapo Ndugu Petro angenyamaza kimya bila kuomba msaada wa Yesu basi bila shaka angezama na pengine angeliwa na Mamba .

Andiko hili linatufundisha kwamba tunapopatwa na matatizo , tusinyamaze , tufungue vinywa vyetu kuomba Msaada ili tuokolewe

View attachment 2894079
Kuna kiongozi WA CCM aliwahi kupanda jukwani na kusema kuwa "Wapinzani wa CCM hawatamalizwa kwa risasi tena bali kwa sumu". Simkumbuki yule mtu
 
Andiko hili linatufundisha kwamba tunapopatwa na matatizo , tusinyamaze , tufungue vinywa vyetu

Mkuu Duh!

Nimesoma wee, nasikia unasema hakutafuta ushauri au usaidizi mapema!

Huwa namshangaa sana "mungu" wako. Mungu huyu mwenye madaraka ya kuumba na kutwaa roho atakuwa amekosea nini?
...au ndio kusema labda wewe ungeweza kumsaidia?

Kwani ulikuwa hujui anaugua, did you extend your help?



Huwa unasemaga 'Hakuna linalomshinda mungu' ameahindwa nini hapa?

Anyway niwachie hapo kwa sasa.

R.I.P Thadeo.
 
Mkuu Duh!

Nimesoma wee, nasikia unasema hakutafuta ushauri au usaidizi mapema!

Huwa namshangaa sana "mungu" wako. Mungu huyu mwenye madaraka ya kuumba na kutwaa roho atakuwa amekosea nini?
...au ndio kusema labda wewe ungeweza kumsaidia?

Kwani ulikuwa hujui anaugua, did you extend your help?



Huwa unasemaga 'Hakuna linalomshinda mungu' ameahindwa nini hapa?

Anyway niwachie hapo kwa sasa.

R.I.P Thadeo.
Petro pamoja na kuwa mwanafunzi wa Yesu lakini aliomba msaada , hakusubiri miujiza ndio awe Ole Mushi ?
 
Back
Top Bottom