Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ripoti kutoka Italy zinasema kocha wa timu ya Juventus na staa wa zamani wa timu hiyo, Andrea Pirlo atatimuliwa kazi muda wowote kuanzia sasa!
Klabu hiyo imekuwa na matokeo mabaya msimu huu huku wakimaliza nafasi ya 4 katika Serie A.
massimiliano Allegri kocha wa zamani wa timu hiyo anatajwa kurejea kuinoa timu hiyo yenye mafanikio zaidi katika soka la Italy.
Tuendelee kufatilia tujue nini kitajiri.
Klabu hiyo imekuwa na matokeo mabaya msimu huu huku wakimaliza nafasi ya 4 katika Serie A.
massimiliano Allegri kocha wa zamani wa timu hiyo anatajwa kurejea kuinoa timu hiyo yenye mafanikio zaidi katika soka la Italy.
Tuendelee kufatilia tujue nini kitajiri.