Andrew Chenge achukua fomu ya kugombea Uspika. Fahamu kuhusu wasifu wake

Hapana chenge hajawahi kugonga mtu
Huna kumbukumbu, huyu mzee alikunywa na hao wanawake wakamtoroka na bajaj akawakimbiza akawagonga pale Oysterbay na kuwaua. Na ikajulikana alikua hana hata insurance!! Huyu mzee hafai hata kwa ugali wa kulumagilia ...
 
Huna kumbukumbu pimbi wewe, huyu mzee alikunywa na hao wanawake wakamtoroka na bajaj akawakimbiza akawagonga pale Oysterbay na kuwaua. Na ikajulikana alikua hana hata insurance!! Huyu mzee hafai hata kwa ugali wa kulumagilia ...
Ungejua si yeye aliyewagonga! Kama Binadamu alibeba kesi kumsaidia 'mtu'
 
hana lolote ni uharo mtupu engekuwa ana akili asinge kwenda CCM na wale wale tu
 
Dabo ajent ni kifo.
Naona majuzi walipewa ruhusa wauzike kiheshima mzoga wake.
Alitumia vibaya elimu yake kuibomoa Angola
yule jamaa ni kweli kaibomoa angola mana zile vita ilikuwa sio poa,alipewa nafasi kubwa tu serikalini na bado akazingua
 
Kwa kweli bobezi la sheria lisiloteteleka raha tupu kusikia sauti yake ikiunguruma Bungeni Kila la kher Mtemi Chenge, hakika ww ni hazina katika nchi hii
 
Hali ni tete nchini Tanzania, nchi imevamiwa
 
yule jamaa ni kweli kaibomoa angola mana zile vita ilikuwa sio poa,alipewa nafasi kubwa tu serikalini na bado akazingua
Rais wa sasa ndo kampa heshima ya kumzika.
Alikuwa dabo ajent anakula USA analala Urusi
USA walipogundua wakamuuza akala bullets za kutosha kuwahi kuzimu akakae na aliowaua
 
Rais wa sasa ndo kampa heshima ya kumzika.
Alikuwa dabo ajent anakula USA analala Urusi
USA walipogundua wakamuuza akala bullets za kutosha kuwahi kuzimu akakae na aliowaua
😅yah walimuuza maana alipigwa ambush moja hatari, yawezekana mwanzo alizikwa hata bila jeneza mana mwili wake uliwekwa nje unafatwa na nzi watu wauone
 
😅yah walimuuza maana alipigwa ambush moja hatari, yawezekana mwanzo alizikwa hata bila jeneza mana mwili wake uliwekwa nje unafatwa na nzi watu wauone
Yah ungeachwa uliwe na fisi
 
Naibu spika DrTulia ,spika wa bunge Dr Tulia,,Ningekuwa mm katibu wa Bunge form yake ningeitia kapuni
 
Ukiacha makandokando yake anafaa sana kuwa spika kwa wakati huu
 
Kwa hiyo chadema nyny mtamchagua bwana endrew chenge!!?
 
Mpaka leo bado huwa najiuliza maana ya kujiita joka la makengeza!

Maana yake nini na joka lenye makengeza linafanya nn
hii ni code yake! sasa uishie hapohapo ,unakotaka kuingia sio kwako mkuu!!
 
Ila ,btulia Hana nafasi Tena ,bola angekomaa na unaibu ,atakosa vyote !! tatzo kana tamaa haka ka mama!! Hivi kana mume kweli,namaanisha kameilewa kweli au singo maza!!
 
Hv CCM hamna wasomi ni watu walewale…mnawachosha wazee wa watu walitakiwa wawe washauri kwa mbali tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…