Andrew Chenge achukua fomu ya kugombea Uspika. Fahamu kuhusu wasifu wake

Hafai full stop
 
Nyie hamuingizi mgombea? Mmeshaanza kuwaona wana ccm Bora? Simunaonaga hakua aliye Bora ccm ila chadema pekeyake?
 
Hahhaha.. Kinachonifurahisha ni kwamba, wanaomshabikia Chenge ni chadema wale wale!
Mkuu kuwa CHADEMA unahitaji akili za kuvukia barabara tu. Empty mind, LEMA, SUGU, MSIGWA, MBOWE hao wote ni wazito chamani na hawana ELIMU yoyote.
 
Mkuu kuwa CHADEMA unahitaji akili za kuvukia barabara tu. Empty mind, LEMA, SUGU, MSIGWA, MBOWE hao wote ni wazito chamani na hawana ELIMU yoyote.
Ungekuwa na angalau robo ya akili walizonazo hao jamaa ungekuwa umejikomboa kifikra! Lakini kwa jinsi ulivyo punguani kamwe huwezi kuwaelewa!
 
Bibi tozo hawezi kumudu kumburuza huyu Mzee!
Kumburuza hawezi ila tu wataungana kutuhujumu maana mzee vipengele vyote vya katika anavijua kama sala ya baba yetu😅!

Akiingia huyu mjengoni swala la katiba mpya msahau watanzania maana jamaa ndio mchora ramani wa michongo yote ya upigaji😅anajua pa kuingilia na pa kutokea bila kukamatwa wala kuwa suspected!
 
Hizi ni dalili za umasikini uliotopea. Hutaki mtu akuzidi, hutaki kusikia mafanikio ya wenzako. Chuki hizi mnazitumia hadi muwapo makazini na mwisho mnakuwa wafitini.
Mafanikio kwa wizi? Yani kuhujumu taifa we unaita mafanikio?

Hii tabia ya ubinafsi wa namna hii watanzania tumeitoa wapi jamani, yani wagonjwa wafe kwa kukosa madawa ili wewe utanue na malaya kwa hela ambayo ingewasaidia walioko hospitali?
 
Halafu ukute anauswahiba na kabudi, mayoweeeeeeeeeee ngachoka kabsa meku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…