Andrew Chenge achukua fomu ya kugombea Uspika. Fahamu kuhusu wasifu wake

Aiseee au mwenyekiti wa kamati ya fedha ya bunge mipango🤣🤣🤣
Yani awamu hii ndio mtajua hamjui sema tu sasa naamini kweli Hangaya alikuwa anawekwa na mstaafu wetu from Msoga!

Maana bibi T kaachia mikoba yote kwa faza yani yeye ndio anapanga safu jinsi atakavyo sina shaka kama mzee wa tezi dume hajapasha kiporo😅😅😅
 
Kiporooooooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa hio kati ya Chenge tulia na Zungu nani atachukua?
 
Kwa trends za siasa za sasa Chenge hawezi kuwa Spika kwa kuwa anaweza akawa ni tishio kutokana na kujiamini kwake kusiko na kiasi.

Na muhimu zaidi, gender ndio habari ya mjini.
 
Huyu jamaa kipindi cha jiwe alikua anahudhuria kesi mahakamani na alikua akijisimamia mwenyewe ile kesi imeishiaga wap sijui
 
Pamoja na mapungufu yake ndani ya CCM bora haya yeye..

Yaani kama ni ugali basi hutalumangia kutakuwa na mchuzi wa kokombeleza.
 
Huyo ndo Supika mwenyewe


Joka la makengeza
 
Katika hao 30 waliochukua form sioni the right candidate and qualified one zaidi ya mzee wa vijisenti. Huyu hata mama atapiga break kwake, kingine ni muda muafaka wa yeye kujisafisha na kashfa za nyuma zinazomhusu kwa kuruhusu bunge huru na mijadara yenye tija kwa taifa letu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…