Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unashangaa chenge,mamvi walimoa kiti agombee..Wana mentality ya kikahabaChenge huyu ndio mlimtukana matusi yote? Leo kawa mzuri?
Huwa nawaza hawa kuna mtanzania hata mmoja anawaamini?Unashangaa chenge,mamvi walimoa kiti agombee..Wana mentality ya kikahaba
Chenge pamoja na kwamba ni tapeli lakini kichwani yupo vizuri snMzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .
Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Chanzo : Mwananchi
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tulimtukanaje na hilo linahusiana nini na maoni yakeChenge huyu ndio mlimtukana matusi yote? Leo kawa mzuri?
Chenge ni mfumo mbovu tu lakini ni mtu smart snKuna wakati saa mbovu ya mshale huonyesha majira sahihi. Chenge ni saa mbovu ya mshale iliyoonyesha majira sahihi.
Katika hili ninampa hongera Chenge.
Wapo...ndiyo maana Dola yapasa kuamua Nani ashike hatamu,ukiacha demikrasia ufanye kazi kwa jamii isiyoelimika na kuitisa nchi kwenye bahari ya zahamaHuwa nawaza hawa kuna mtanzania hata mmoja anawaamini?
HahahahaChenge huyu ndio mlimtukana matusi yote? Leo kawa mzuri?
Chadema ni wapumbavu sanaChenge huyu ndio mlimtukana matusi yote? Leo kawa mzuri?
Huwa nikiwatafakari BAVICHA napata hofu ya afya zao za akiliChenge huyu ndio mlimtukana matusi yote? Leo kawa mzuri?
MumeoChadema ni wapumbavu sana
Chenge yupo CCM au CHADEMAHuwa nikiwatafakari BAVICHA napata hofu ya afya zao za akili
Maoni yametolewa na Chenge , siyo ChademaChadema ni wapumbavu sana
Hahaha....... Chadema mnayumba sana!Chenge pamoja na kwamba ni tapeli lakini kichwani yupo vizuri sn
Kwani Halima Mdee yuko Chadema au CCM?Chenge yupo CCM au CHADEMA?
Anayezungumziwa hapa ni mleta mada, wenye akili huwa wanajadili kila kitu, wanajadili mada na wanamjadili mleta mada.Chenge yupo CCM au CHADEMA