Kweli yooteHakika ni kweli...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli yooteHakika ni kweli...
SwadaktaKama amebadirika atukanwe kwa lipi? Kama mtu alikuwa anakera, na sasa hakeri tena, UTAKUWA NI MWENDAWAZIMU KUENDELEA KUMTUKANA
Hehehe kikosi kazi sijui mama ana lengo gani
Well said. Kelele zinaokoa sana. Tuache siasa maandazi tupambanie common interest za kitaifa.Kelele zetu ndo zimebatilisha Ile Ahadi ya ajira ya miaka 9.
Kelele hizo hizo ndo Zitamrudisha Warioba Ili amalizie KAZI.
Tuache Ule ushabiki wa mama vs jiwe, Hauna manufaa yoyote Kwa Taifa letu zaidi ya kutupotezea time.
Amen.
Well saidHata mimi naunga mkono maoni yake. Ukisoma Katiba Inayopendekezwa na ile ya Warioba utaona kuna tofauti kubwa kwenye content. Ni wazi Katiba ya sasa imepitwa na wakati na haikidhi matarajio ya Watanzania. Katiba mpya (bora) ndiyo itakayotuvusha kwenye huu mchakato wa kuandika Katiba mpya.
Kireport na nilichosikia kwenye recorded yake iliyochezwa wasafi fm leo asbh ni vitu viwili tofautiMzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .
Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Chanzo : Mwananchi
Weka alichosema wasafiUlicho
Kireport na nilichosikia kwenye recorded yake iliyochezwa wasafi fm leo asbh ni vitu viwili tofauti
Alisisitiza hatuna haja yakurudi kwenye Rasimu 2 ila tuanze tulipoishia maana huko kwenye Rasimu tulishavuka na sasa tuanze tulipoishia na akasikitishwa na waandishi wa habari kuto kutoa elimu na ufafanuzi wa vifungu vya katiba pendekezwa hasa kwenye magazeti.Weka alichosema wasafi
Mkuu pole walikujaza mimba na kukuacha solemba, punguza ukali, mambo hayo hayataki hasira, jiandae kulea tu.Chadema ni wapumbavu sana
Kumbe wewe mtotoBusara hukua na umri ,Kwani wewe mtoto🤔
Tapeli linaitwa 'Mama'!Watanzania bhana😁😁😁Hehehe kikosi kazi sijui mama ana lengo gani