Sema sheria za nchi zinavyotaka sio watu wanavyotakaAngekuwa jela Kama mlivyotaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema sheria za nchi zinavyotaka sio watu wanavyotakaAngekuwa jela Kama mlivyotaka?
Munkandala pale amewekwa tu kufubaza wanazi wa ccm wasiotaka Katiba mpyaMungu anatusikia maombi yetu.
Mzee WARIOBA arudishwe kwenye Tume ya Katiba na AAPISHWE,
Mukandala arudi darasani afundishe.
Amen
🤣🤣Wewe ulitakiwa ufungwe kwenye salama utupwe jalalani ukakae na mjomba wako kabudi
Hapo sasaUlitaka apindishe kauli ya chenge?? Mbona nyie hamtaki mtu apindishe mazuri ya shujaa?
County wide unaumia nini hapo,au uumiongoni wa lilekundi lililotaka kujimilikisha taifa hili🤔Umeandika nn hapo Sasa?
Kelele zetu ndo zimebatilisha Ile Ahadi ya ajira ya miaka 9.Akina Zito wanafanya nini sasa hapo?
Si Chenge, nilimaanisha yeyote atakaeingilia mchakato Kwa Nia ya kuuvuruga ASIFANIKIWE.Kufa asife lakini hafai kabisa
Nakukumbusha pia kuwa walionunua VICHWA vya treni used ni Hawa Hawa waramba asali.Akina Zito wanafanya nini sasa hapo?
Kwani Halima Mdee yuko Chadema au CCM?
Haikuwa personalChenge huyu ndio mlimtukana matusi yote? Leo kawa mzuri?
Hata mimi naunga mkono maoni yake. Ukisoma Katiba Inayopendekezwa na ile ya Warioba utaona kuna tofauti kubwa kwenye content. Ni wazi Katiba ya sasa imepitwa na wakati na haikidhi matarajio ya Watanzania. Katiba mpya (bora) ndiyo itakayotuvusha kwenye huu mchakato wa kuandika Katiba mpya.Mzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .
Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Chanzo : Mwananchi
Ni jambo zuri.Mzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .
Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Chanzo : Mwananchi
Kama amebadirika atukanwe kwa lipi? Kama mtu alikuwa anakera, na sasa hakeri tena, UTAKUWA NI MWENDAWAZIMU KUENDELEA KUMTUKANAChenge huyu ndio mlimtukana matusi yote? Leo kawa mzuri?
Mh Judge Warioba ktk mahojiano yake Azam Tv baada ya CCM kuridhia mchakato alisema:Mzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .
Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Chanzo : Mwananchi