Andrew Chenge afika kwenye Kamati ya Katiba, awataka Wajumbe warudi kwenye Rasimu ya Warioba

Andrew Chenge afika kwenye Kamati ya Katiba, awataka Wajumbe warudi kwenye Rasimu ya Warioba

Mzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .

Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .

Chanzo : Mwananchi
Mungu anatusikia maombi yetu.

Mzee WARIOBA arudishwe kwenye Tume ya Katiba na AAPISHWE,

Mukandala arudi darasani afundishe.
Amen
 
Mzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .

Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .

Chanzo : Mwananchi
Tujadili HOJA na Si PERSONALITIES.

Suala la wizi wa Chenge ni hoja ingine ipewe muda wake.


CHENGE ameshiriki kuandika KATIBA hii iliyopo, Ushauri wake hayupo wa kupinga Kwa HOJA hapa nchini.

Tume ya Mukandala hawapo kisheria maana hawajaapishwa.

Amen.
 
Mlipotaka afungwe jela hamkujua ana mazuri yake?
Ndugu Countrywide kuna wakati wa kuhukumu na kuna wakati wa kusamehe..

Mimi sijui kama (kwa wakati huo) walitaka ahukumiwe...

Lakini haiwezekani wakati wote na siku zote wewe uwe mtu wa kuhukumu na kulaumu tu..

Samehe, songa mbele. Forget about the past kwa manufaa yako na si kwa yule unayedhani ameko au amekukosea..!!
 
Back
Top Bottom