DIUNATION
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,591
- 1,719
Hata LowassaChenge pamoja na kwamba ni tapeli lakini kichwani yupo vizuri sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata LowassaChenge pamoja na kwamba ni tapeli lakini kichwani yupo vizuri sn
SureHata Lowassa
Hata leo aende tu kama kuna ushahidiKwa hiyo hakustahili kwenda jela?
CCM haitakubaliSasa RASMI katiba imeiva japo wasije kuchakachua!!
Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!!!
Mungu anatusikia maombi yetu.Mzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .
Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Chanzo : Mwananchi
🥺🙏Chenge pamoja na kwamba ni tapeli lakini kichwani yupo vizuri sn
Angekuwa jela Kama mlivyotaka?Maoni yake ni mabaya?. Mtu kasema tutumie rasimu ya warioba inayo ungwa mkono na upinzani. Ulitaka upinzani wabadilishe msimamo wao kisa Chenge?.
Pamoja
Umeandika nn hapo Sasa?Tofautisha maoni na character. Usikariri.
Kufa na AFE. AmenMtu yeyote anayetaka kukwepa Rasimu ya Warioba basi ana jambo lake na hana nia na katiba mpya
Tujadili HOJA na Si PERSONALITIES.Mzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .
Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Chanzo : Mwananchi
kuvunja sheria za nchi na kutoa maoni ni mambo mawili tofauti.sheria za nchi ni muhinu kuliko mtu kutoa maoni.labda uwe zezeta ndio hautaelewa.Mlisema anastahili kuwa jela, vipi mngesikilizwa hayo maoni mngeyapataje?
Usiwasemee,CCM haitakubali
Akina Zito wanafanya nini sasa hapo?Usiwasemee,
Rais amekubali, Chama Chao kimebariki.
Wananchi Si wajinga walishatoa maoni Yao na Wana Imani na Mzee WARIOBA Si Hawa kina Zitto.
Amen
Ndugu Countrywide kuna wakati wa kuhukumu na kuna wakati wa kusamehe..Mlipotaka afungwe jela hamkujua ana mazuri yake?
Busara hukua na umri ,Kwani wewe mtoto🤔Leo Chenge ni Mzee mwenye Busara? Hii nchi ngumu sana.... 🤣
Kufa asife lakini hafai kabisaKufa na AFE. Amen
Sahihi kabisaUsiwasemee,
Rais amekubali, Chama Chao kimebariki.
Wananchi Si wajinga walishatoa maoni Yao na Wana Imani na Mzee WARIOBA Si Hawa kina Zitto.
Amen
Umamjibu vizuri sana.kuvunja sheria za nchi na kutoa maoni ni mambo mawili tofauti.sheria za nchi ni muhinu kuliko mtu kutoa maoni.labda uwe zezeta ndio hautaelewa.