Andrew Chenge afika kwenye Kamati ya Katiba, awataka Wajumbe warudi kwenye Rasimu ya Warioba

Andrew Chenge afika kwenye Kamati ya Katiba, awataka Wajumbe warudi kwenye Rasimu ya Warioba

Ndiyo, ni mzuri;

✓Hakuna mtu mbaya ama mzuri kwa 100%, UKIWEMO WEWE...

✓Kila binadamu ana pande mbili. Yaani upande wa udhaifu na ule wa uimara/mazuri, UKIWEMO WEWE...

✓ Hakuna mtu ambaye ana maadui tu, UKIWEMO WEWE...

✓ Hakuna mtu ambaye anapendwa na watu wote, UKIWEMO WEWE..

✓ Hakuna mtu ambaye ana maadui wote, UKIWEMO WEWE..

## Wewe ndiye mwenye matatizo iwapo mchana kutwa umetazama madhaifu au mabaya ya mtu pekee yake..

## Ili usiumie, nakushauri tazama upande wa mazuri ya mtu hata mara moja tu kwa kutwa, utauona uponyaji wako...!!

CC: SINGLE WINDOW
Mlipotaka afungwe jela hamkujua ana mazuri yake?
 
CCM ndio imejaa wajinga, ndio maana mpaka leo tunahangaika na ugumu wa maisha. Mikopo, too na ushuru. Halmashauri za kwenu, vijiji na mitaa na wabunge wote wenu, ila Sasa mnachojua ni kukopa na tozo.
 
Linahusiana kwa sababu bado chadema haijawahi kutoka hadharani kumsafisha Andrew Chenge dhidi ya tuhuma mlizowahi kumtuhumu kupitia "List of Shame" ya Mwembeyanga.

Mnapoongea muwe pia mnatunza kumbukumbu.
Kwa sababu wengi wa wafuasi wa Chadema,huwa hamjui kwamba kwenye Siasa hakuna "adui wa kudumu".

Tofautisha character ya Chenge na maoni ya Chenge. Usikariri
 
Back
Top Bottom