Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwahiyo hawezi kubadilika?Si mlisema anastahili kuwa jela huyu au mshasahau Yale maazimio yenu kwenye escrow?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hawezi kubadilika?Si mlisema anastahili kuwa jela huyu au mshasahau Yale maazimio yenu kwenye escrow?
GoodKweli kabisa
SawaAnayezungumziwa hapa ni mleta mada, wenye akili huwa wanajadili kila kitu, wanajadili mada na wanamjadili mleta mada.
Yupo CCM mpo naye UWTKwani Halima Mdee yuko Chadema au CCM?
Kwa kipiHahaha....... Chadema mnayumba sana!
Chadema imekuwa ikisisitiza Tangu Bunge la Katiba kuheshimiwa Kwa rasmu ya Warioba ambayo ilibeba maoni ya Wananchi. Leo Chenge ambaye alishiriki Sana kwenye Katiba iliyopendekezwa ya kiCCM, ameona alipokosea na kutamka Wazi Rasmu sahihi ni ya Warioba na siyo iliyochakachuliwa na kuitwa Katiba inayopendekezwa. Hapo Chadema wamegeuka nini?Hahaha....... Chadema mnayumba sana!
Kwani alipotuhumiwa vijisenti angechunguzwa mngepoteza nini?Mlisema anastahili kuwa jela, vipi mngesikilizwa hayo maoni mngeyapataje?
CCM haiwezi kuitoa nchi ilipokwama kama haya ndo mawazo ya CCM. Yaani Mtu aibe aachiwe Kwa vile ana mawazo mazuri kuhusu Katiba?Hayo mawazo yake mngeyapata wapi ikiwa angekua jela Kama mlivyotaka?
Eleza zuri moja la Ndugai unalolijuaKwani wanaCCM wangapi mnawapiga vita kana kwamba hawakufanya lolote kama Ndugai
Kwani Kuna sehemu mtoa mada amesema kuwa mh Chenge ni mzuri au yeye amewasilisha alichokisema na kunukuu gazeti?Chenge huyu ndio mlimtukana matusi yote? Leo kawa mzuri?
Huyu ni mshenzi Sana! Ndio aliharibu mchakato wote!Mzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .
Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Chanzo : Mwananchi
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kwamba kwa vile Chenge ni fisadi basi habari zake kuhusu Katiba zifichwe ?Linahusiana kwa sababu bado chadema haijawahi kutoka hadharani kumsafisha Andrew Chenge dhidi ya tuhuma mlizowahi kumtuhumu kupitia "List of Shame" ya Mwembeyanga.
Mnapoongea muwe pia mnatunza kumbukumbu.
Kwa sababu wengi wa wafuasi wa Chadema,huwa hamjui kwamba kwenye Siasa hakuna "adui wa kudumu".
Huyu Mh kwangu ni Genius. Hatakama alipiga. Hiki kichwa nihatari.Mzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .
Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Chanzo : Mwananchi
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Wee uvccm ukifanya mambo ya kipuuzi utapuuzwa ukifanya ya HESHIMA utaheshimiwa ...Chenge huyu ndio mlimtukana matusi yote? Leo kawa mzuri?
Tatizo hiyo mimba y BAVICHA itoe itakuuwa...Huwa nikiwatafakari BAVICHA napata hofu ya afya zao za akili
Hivi kahaba mkuu haumjui mpaka sasa?Unashangaa chenge,mamvi walimoa kiti agombee..Wana mentality ya kikahaba
Humjui na si haumjui...namjua kahaba na maana ya ukahabaHivi kahaba mkuu haumjui mpaka sasa?