saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na mbunge wa zamani wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amesshauri muundo na utaratibu wa uteuzi wa viongozi wa Tume ya Uchaguzi utumike uliopo kwenye Katiba pendekezwa.
Chenge aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Serikali kati ya mwaka 1993 hadi 200, amesema hayo leo Ijumaa Julai 15, 2022 baada ya kutoka kuwasilisha maoni yake kwenye Kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa katika ofisi ndogo za Bunge Dar es Salaam.
CHANZO: mwananchi_official
Chenge aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Serikali kati ya mwaka 1993 hadi 200, amesema hayo leo Ijumaa Julai 15, 2022 baada ya kutoka kuwasilisha maoni yake kwenye Kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa katika ofisi ndogo za Bunge Dar es Salaam.
CHANZO: mwananchi_official