econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Uzuri ujumbe wangu umewafikia
Ujumbe wako ni nje ya context. Unaishambulia CHADEMA kisa Chenge kaiunga mkono kwenye msimamo wake wa rasimu ya Warioba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri ujumbe wangu umewafikia
Mlikuwa mnataka achunguzwe au afungwe? Hebu rejeeni kwenye maazimio yenu mkiongozwa na mwenyekiti 2014
Angekua jela Kama mlivyotaka hayo ya heshima mngeyaonaje?
Mlipotaka afungwe jela hamkujua ana mazuri yake?
[emoji38][emoji38][emoji38]Dola gani? Hii ya CCM ya kuchagua wakurugenzi Wala rushwa na wabunge wapiga sarakasi. Na madiwani wanaojificha kwa michepuko.
Mtu yeyote anayetaka kukwepa Rasimu ya Warioba basi ana jambo lake na hana nia na katiba mpyaMzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .
Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Chanzo : Mwananchi
Etwege hapo kichwa kinauma akisikia rasimu ya Warioba.
Wewe ulitaka mtu umchukie milele bila sababu? hiyo roho ya kisukuma gang ikutoke kwa Jina la Yesu.Huwa nikiwatafakari BAVICHA napata hofu ya afya zao za akili
Ndio kashasema sasa turudi kwenye katiba ya Warioba.Chenge huyu ndio mlimtukana matusi yote? Leo kawa mzuri?
Wazee wa mtelezo a.k.a chawa wa uteuzi wakiona kauli hizi wanachachawa🤣🤣🤣Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Angekua jela kama mlivyotaka huo ukweli mngeusikia saa ngapi?
Nani kaibiwa?
Na mimi simung'unyi maneno, je hakuwemo kwenye BMK wakati ule!?hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ?
Kuna wakati saa mbovu ya mshale huonyesha majira sahihi. Chenge ni saa mbovu ya mshale iliyoonyesha majira sahihi.
Katika hili ninampa hongera Chenge.
)Maoni yake ni mabaya?. Mtu kasema tutumie rasimu ya warioba inayo ungwa mkono na upinzani. Ulitaka upinzani wabadilishe msimamo wao kisa Chenge?.
Chenge waziri wa mambo ya ndani??🤔NI kweli mzee chenge amepatia.kuwa waziri wa mambo ya ndani alafu unadai katiba mpya ya warioba.anahitaji kupongezwa Sanaa mzee chenge
Labda kama waliomtukana ni akina countrywide &co🤔Chenge huyu ndio mlimtukana matusi yote? Leo kawa mzuri?
Leo Chenge ni Mzee mwenye Busara? Hii nchi ngumu sana.... 🤣Mzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake .
Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa Kamati hiyo kurejea kwenye Rasimu iliyopendekezwa na Wananchi , Amedai ni kweli si rahisi kumzuia Rais wa Nchi kuteua Maofisa wa Serikali , lakini anawateua kwa utaratibu gani ? ni lazima Wateuliwa Waombe nafasi na Wasailiwe , amesema utaratibu huu ndio utakoiletea heshima nchi .
Chanzo : Mwananchi