Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini6a imekaa kishamba, kwangu naona 4XL ni bora kuliko hiyo
Kwanza muonekano wake tu wa screen size yake kuwa ndogo kwa 4XL huwa inanikata sana.Kwa nini
Kwa huo uchambuzi wako aisee tukuache tu ila tuhitimishe kwa sasa pixel ni zile zinazotumia G Tensor mbali na hapo unahangaika ,alafu wauzaji wa simu bongo makanjanja hio 4xl mpaka laki 2 unaipata duniani huko ziko outdated sana.Kwanza muonekano wake tu wa screen size yake kuwa ndogo kwa 4XL huwa inanikata sana.
Halafu pia 6a nyingi nilizoziona ni 6GB RAM kitu ambacho kipo kwenye XL miaka mitatu nyuma.
Kwangu mimi naona toleo la 6a ni kurudi nyuma badala ya kusonga mbele.
Na ndio maana huwezi kushangaa kuona hata kwenye market za hapa bongo kukuta 4XL yenye 128 ikauzwa bei juu kuliko 6a au zikakaribiana na hata 6a akizidi basi utofauti ukawa ni mdogo.
Japo saizi kuna trend ya kupata simu nyingi dukani ambazo ni second hand zilizokuja baada ya watu kufanya exchange lakini Pixel 4Xl GB128 kwa laki 2 haiwezekani.Kwa huo uchambuzi wako aisee tukuache tu ila tuhitimishe kwa sasa pixel ni zile zinazotumia G Tensor mbali na hapo unahangaika ,alafu wauzaji wa simu bongo makanjanja hio 4xl mpaka laki 2 unaipata duniani huko ziko outdated sana.
Nikiwa kama mmojawapo wa watu niliowa inspire watu waanze kutumia xiaomi hapa bongo kupitia uzi wangu hapa jukwaani nadiriki kusema Pixel ameimprove sana ,nilikua naona upuuz kuwaonja ila now nina mwez niko na pixel 6 maboresho ni makubwa kituo kifuatacho ni 8 february hapo .PIXEL KWA SASA IKO KWENYE KUNDI LA SIMU ZA KIUME (WANAUME)NA SI WAVULANA
Dar hata 3a mpya zipo😂Endelea na kuletewa refurb kwa mgongo wa used from dubai,online kila detail imeandikaa hio ni second hand phone na ukumbuke hakuna pixel 4xl mpya dunia hii kwa sasa ila dar zitakuepo
Hebu kwanza tuanze na kipengele haijaguswa wewe hua una prove vipi ,kwa upande wa pixel kama haijugwa ,sio kwa ubaya ili nami nijifunze au pengine nikupe nami tricky zanguJapo saizi kuna trend ya kupata simu nyingi dukani ambazo ni second hand zilizokuja baada ya watu kufanya exchange lakini Pixel 4Xl GB128 kwa laki 2 haiwezekani.
Labda iwe na vipengele imeguswa guswa kila sehemu au scratches kwenye screen.
Kioo tu cha Google pixel 4Xl ni almost 150K na muda mwingine hadi 170K.
Lakini 4Xl GB128 ambayo ni clean huwezi kuipata kwa bei hiyo.
Kuna page Google 6a mpya ambayo haijaguswa kabisa inauzwa 530,000.
Mwache aneng'eneke tu ,kuna jamaa yangu nae juz anakuja na story za kununua s21 kaambiwa mpya nilicheka hadi nikaumia mbavuDar hata 3a mpya zipo😂
Japo saizi kuna trend ya kupata simu nyingi dukani ambazo ni second hand zilizokuja baada ya watu kufanya exchange lakini Pixel 4Xl GB128 kwa laki 2 haiwezekani.
Labda iwe na vipengele imeguswa guswa kila sehemu au scratches kwenye screen.
Kioo tu cha Google pixel 4Xl ni almost 150K na muda mwingine hadi 170K.
Lakini 4Xl GB128 ambayo ni clean huwezi kuipata kwa bei hiyo.
Kuna page Google 6a mpya ambayo haijaguswa kabisa inauzwa 530,000.
Sawa ila mimi sio mtaalamu sana wa hardware.Hebu kwanza tuanze na kipengele haijaguswa wewe hua una prove vipi ,kwa upande wa pixel kama haijugwa ,sio kwa ubaya ili nami nijifunze au pengine nikupe nami tricky zangu
Tizama hapo price za mchina na anakutajia kabisa kua simu ina hali gan au kipengele gani kwa sasa , na bei yake na unapewa had full box na bado na wao wanatupiga sembuse bongo kuuziwa 6a kwa jiwe tano
View attachment 3188520
Tuishia hapa mkuu hakuna pixel 6a mpya sasa hivi dunia hii tule refurb au used basSawa ila mimi sio mtaalamu sana wa hardware.
Ila nikiona scratches kwenye edge ya back glass ni moja ya indication nayotumia kujua kuwa simu imepita kwa fundi.
Na sometimes wapo mafundi makini hawaachi trace na hiyo unaishia kukutana na hardware faults kama simu ku heat kupita kiasi au changamoto nyingine yoyote ambayo sio software.
Pixel 6a mpya unboxed zipoTuishia hapa mkuu hakuna pixel 6a mpya sasa hivi dunia hii tule refurb au used bas
Bado hii Updates imeanza Kuwa rolled out kwa Pixel kuanzia mwezi wa 10 mimi nina Pixel na Nili update Kipindi icho, Nyie probably kuanzia February ivi ndo mtapata hio updateSamsung android 15 kuna alie pokea?