kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
- Thread starter
-
- #101
Wewe dogo unajicontarict sana, huna msimamo. Mara ukatae kutunishiana misuli, mara useme tuweke mashindano.Inatakiwa wajuzi wajibu hoja kwa ufanisi bila kutunishiana misuli. Atupo GMY hapa. Big Up kali linux
Dogo unaita app mbaya nakubaliana na wewe 100% lakini pia Nenda kasome reviews zake playstore basi, usiweke hate kwenye reality, face facts mdogo wangu. Niambie ubaya upo wapi mimi nikiendelea kumantain app nitarekebisha, simple and clear, lkn kasome kwanza reviews za waloitumia. Mm sio kama devs wanaokataa challenges kwenye projects zaoSio kwa kutishana uku. Mbna hii app nayo UI mbaya sana. Arafu ni nulled game App. π πππ developer wa mchongo. Ujanja mwingi wa ku edit code za free basi unajiona developer. Hizo coin unawauzia wabongo. Hahaha π πππ, system za ku copy nbanaa ku edit zina shida sana
Mie ni professional sifanyi kazi kiswahili na kwa hypes, nishasema toka huko juu, waambie NMB wafungue bug bounty program, niko pale na ndoo yangu ya heineken nawasubiriLakini mkuu ungeweza kufanya nini kwa upande wa security ikiwa unaona wanaficha kitu flani, je unaweza kukifichua kama inawezekekana we fichua tu weka adharani
Una utoto mwingi sana, comment yako ya mwisho hii kukuquote af nakuweka kwenye ignore list, lakini ukikua ukaja kurudi kusoma comments zako hapa I'm sure utaona aibu.Mimi sio nikupe mm nakutengenezea ukitaka, au ni clone app yako arafu niweke katika store yangu na ww udownload πππ
Sawa bro tumekuelewa, wacha tujifunze kupitia .... napenda kujifunza sana. Nilianza kuosma comments kutoka mwishoInaonekana una point ila utoto wako unazidi uzito wa point zako
1)Sipo hapa kushindana, my time is limited siwezi poteza muda kwa mambo ya kitoto kama hayo. Nipo hapa kukosoa huduma ambayo tumelipia na kupoteza muda wetu kuunganishwa ili kuipata.
2)Unasema tuhack kwenye hio app, nilishatoa jibu huko juu. Kaongee na NMB wafungue bug bounty program kwenye professional site yyt ya bug bounty (na-recommend hackerone) wakikubali nitumie link ya hio bug bounty program niingie mzigoni.
3)Naona umekariri neno 'Nulled scripts' kwa sababu unazitumia sana, naweza reverse engineer apps zako zote nikakuonesha ulipotumia hizo modified scripts za watu hadi ulipozitolea ila sina hio time na huwa sijibu utoto kwa utoto. Mfano kwenye hizo apps ulizoweka playstore kuna game moja umeclone, scripts ziko wazi kabisa hio ni clone
4)Hahahahaaa unaongelea github? Una misuli? Mzee watu contributions zetu zinafahamika hadi silicon valley kwa wazungu unaow-admire wewe. Big FOSS projects kama Wordpress, Gutenberg, OWASP ZAP kuna codes zangu humo, na sina github acc moja, zipo tatu na zote zipo active (coding, cyber, web3). Anyway Back to the topic sina time ya kufanya huo utoto, nmetengenezea watu zaidi ya kumi humu jf systems ambazo hadi leo wanatumia na hizo app sikutaka hata kushare lkn users wanaojua kazi zangu ndo wameshare. Na kwa taarifa yako hio app waloshare ni apps ambazo huwa natengeneza nikiwa sina kazi ya kufanya, yaani nikiwa nataka kurefresh
Kama kazi zangu hazikufanyi kuappreciate uwezo na mchango wangu basi endelea na mashindano yako na watoto wenzio ila siku ukikua njoo tujenge hoja bila kuweka mashindano yako ya kipuuzi, BTW siko hapa kuimpress watu
Bro nilianza kusoma comments kutoka mwisho.Wewe dogo unajicontarict sana, huna msimamo. Mara ukatae kutunishiana misuli, mara useme tuweke mashindano.
Hadi naona najiaibisha tu kukuquote
Vodacom wana bounty program, wanalipa up to 2000usd kama sikosei, kulingana na uzito wa issue uliyoibua. Wasiliana nao kama skills zipo.Hivi Bongo, kampuni zinalipa fedha pale unapowapa hints za namna apps zao zinavyoweza kuwa hacked? Au taarifa za mteja zinavyoweza kuvunwa na kutumiwa vibaya?
If Yes, mnawasilianaje nao?