Android Developers wa bank ya NMB, huu uoga mmeanza lini?

Android Developers wa bank ya NMB, huu uoga mmeanza lini?

Huyu jamaa anajitia umuch know ila ni empty head kabisa. Na hata kujenga hoja hajui [emoji16][emoji16]
It's a waste of time kubishana nae

He just wanted to brag ila too bad he has a very little knowledge na anachokiongea. Vijana waliopo kwenye starting up period za career zao wana shida sana, haha.

Hahahahaaa....

Shida kweli, kwa nini msijibu maswali mnaishia kupiga umbea tu?

Mmejaa utoto utoto, hamjibu maswali, sasa hapo nani ni empty, mimi au nyie? Probably nyie mnafanya kazi huko, justifying your weaknesses, hahahahaaaa

Nishasema, sichezi michezo ya kitoto ya kutunishiana misuli hapa.
 
Inawezekana kipindi mimi naanza kazi, wazazi wako walikuwa hata hawajajua kama watakuja kukutana na kukupata wewe, haha.
Young man, control your ego. Sehemu mimi nimefanya kazi, wewe hata kazi ya ulinzi hauwezi kupewa.
 
Inawezekana kipindi mimi naanza kazi, wazazi wako walikuwa hata hawajajua kama watakuja kukutana na kukupata wewe, haha.
Young man, control your ego. Sehemu mimi nimefanya kazi, wewe hata kazi ya ulinzi hauwezi kupewa.
Hahahahaaa

Ego? Mm na wewe nani ana Ego?

Af unajisifia kufanya kazi kwa watu wakati mie nna kampuni langu, au unadhan kila mtu anaenjoy kuwa 'modern slave' kama unavyoenjoy wewe?


Hata kama una umri mkubwa au umefanya kazi NASA haijustify kutumia ubabe kukwepa hoja.

Na kama kweli umefanya kazi huko na una huo umri unaosema basi busara yako ilibidi iwe kubwa zaidi ya hapo ilipo kwa sasa.

Tusitoke nje ya mada, swali ni moja tu, kama kuruhusu dev options haina madhara yoyote, kwa nini muwabane watu kuzima dev options?
 
Zaman izi airtel App,NMB kama umeroot simu haifunguki ng'oo...Saizi kama ume turn-on developer mode App kama izo zinasumbua

BTW nmb acheni uoga niko na App za cash transfer kama Skrill,World remmit zinafunguka vizuri tuu na bila DM mode kuzimwa nyie mnaogopa nini?? Hacker??wabongo?? Ulisikia wapi hacker mbongo kadukua benk zaidi ya wakala alieingia system ya Safari com na kupita na 2B??

Cover izo bug.fanyeni update mara kwa mara amna wa kuwaibia

Msituchoshe sawa??
 
Zaman izi airtel App,NMB kama umeroot simu haifunguki ng😱o...Saizi kama ume turn-on developer mode App kama izo zinasumbua

BTW nmb acheni uoga niko na App za cash transfer kama Skrill,World remmit zinafunguka vizuri tuu na bila DM mode kuzimwa nyie mnaogopa nini?? Hacker??wabongo?? Ulisikia wapi hacker mbongo kadukua benk zaidi ya wakala alieingia system ya Safari com na kupita na 2B??

Cover izo bug.fanyeni update mara kwa mara amna wa kuwaibia

Msituchoshe sawa??
Safi sana and Thank you.

That's all I can say.

Kuna wafanyakazi wao hapo juu wanaanza hadi kutoa vitisho, hahahahaa.

Hii inaleta usumbufu sana kwa mtumiaji
 
Bado sijaona hoja yako inamake sense, kama kweli wewe ni mbobezi ungeweza kucounter-attack hyo requirement ya kuturn-off develover option uende ukadukue mihela yao..

Otherwise your arguments make no sense, FYI ni takwa la kimfumo kuweka limit ya access kulingana na level ya security risk ya watumiaji wa app husika especially kwa hizi mobile money apps, including TLD kama Paypal n.k

Na sio NMB mkononi pekee hata M-pesa app na apps nyingine, huwezi kubanjuka tu unavyojisikia wewe
Mimi natumia mpesa, airtel money, paypal, safaricom, payoneer, skrill, wise na simu yangu iko kwemye developers mode mbona. Hizi labda huwa zinanigomea simu ikiwa rooted.
 
Hello bosses and roses....

"Security by obscurity" is for cowards, kwa sababu inaprove kwamba kuna loopholes nyingi na rahisi kupatikana kwenye hio system endapo nitajua au kuweza kufikia ulichokificha. Nikiwa nafanya security audit yoyote ile nikagundua developer ametumia sana 'secrecy' kwenye system yake basi hapo naongeza chupa ya Heineken sababu anakua ameshanipatia uhakika kwamba KUNA LOOPHOLES NYINGI, NA KWA KUWA NI NYEPESI KUWA EXPLOITED YEYE KAAMUA KUZIFICHA BADALA YA KUZIZIBA. Yaani unakua hauna tofauti na mtu anaefunga mlango kwa komeo tu bila kufuri halafu anaweka makuti mbele ya mlango ili watu wasiuone mlango na wasijue hajaweka kufuri.

Turudi kwenye story ya leo. Leo nimeupdate app ya NMB mkononi lakini cha kushangaza ikawa haifunguki kama kawaida. Nikafocus nayo kumbe pale ukiibonyeza tu ikawa inanipa message kwa mtindo wa 'Toast' kwamba "YOU HAVE ENABLED DEVELOPER OPTIONS, PLEASE GO TO YOUR SETTINGS AND DISABLE THEM TO CONTINUE USING THIS APP" msg inawezekana ikatofautiana grammar lkn ujumbe ni ule ule.

Sasa waliotengeneza mfumo wa Android wenyewe wameruhusu Developer options wakijua ni safe, na developer wa APP hana haja ya kuziogopa kwamba zitasababisha app yake iwe cracked au manipulated. Hivi kama unaogopa mtu alo-enable developer settings kwenye simu yake, Je yule aloi-root kabisa simu yake itakuaje sasa. Developers wa android OS wanajua zile 'Developer options' hazipaswi kuwa na madhara lakini ni 'Top Level' tu na haina haja ya mtumiaji wa kawaida kuzifahamu unless awe na mahitaji nazo. Ndio maana zikawekwa kule.

Kwa mfano kwa watumiaji 'Advanced' wa android ambao wao muda mwingi developer options zipo 'on', mnataka tuwe tuna switch to and fro NMB MKONONI kuzima na kuwasha developer settings?

Najua hofu kubwa ni kuogopa app ya NMB Mkononi kuwa cracked, lakini tafuteni mbinu nyingine kuziba loopholes na sio kuficha mlango ulipo kwa makuti.

Happy coding.

kali linux
🤣🤣🤣Wataalam a kibongo bongo hawa. Maneno meeeeengi. Majigambo meeeengi. Be informed: Utaalam kwenye coding siyo siasa useme utapiga kelele kuwa ''mama anaupiga mwingi'' hata kama hafanyi lolote na ukapata wafuasi. Haya mambo yanafanywa kivitendo na unaona matokeo yake hapo hapo!
 
Safi sana and Thank you.

That's all I can say.

Kuna wafanyakazi wao hapo juu wanaanza hadi kutoa vitisho, hahahahaa.

Hii inaleta usumbufu sana kwa mtumiaji
Majigambo yako ni kama ya yule sijui mpya wa Magufuli anayetishia kuwa yeye ni nguli wa IT na ana uwezo wa kuona matokeo ya madakatari wote kwenye software yake aliyotengeneza kwa ajili ya kuonyesha matokeo ya mitihani. Anasema hivi huku anaitafutia soko hiyo software yake.
 
Zaman izi airtel App,NMB kama umeroot simu haifunguki ng'oo...Saizi kama ume turn-on developer mode App kama izo zinasumbua

BTW nmb acheni uoga niko na App za cash transfer kama Skrill,World remmit zinafunguka vizuri tuu na bila DM mode kuzimwa nyie mnaogopa nini?? Hacker??wabongo?? Ulisikia wapi hacker mbongo kadukua benk zaidi ya wakala alieingia system ya Safari com na kupita na 2B??

Cover izo bug.fanyeni update mara kwa mara amna wa kuwaibia

Msituchoshe sawa??
NMB wana uoga usio na maana. Mimi nawashangaa sana wanaposhindwa kutoa access ya internet banking kwa watu wa saving account, wakidai kuwa huduma hiyo ni kwa ajili ya corporate accounts!!!😅

Internet banking si ni njia tu ya mtu kufikia akaunti yake pasipo kuingia benki?? Mbona mabenki mengine yote internet banking sio ISHU kwao. Mnabania wateja bila sababu ya msingi kwa karne hii ya teknolojia. Nilivyoona na huu uzi ninaendelea kuthibitisha woga usio na msingi mlionao.
 
Hebu tupe na wewe app yako playstore tukusahihishe. Maana kuongea bila kujua kwa nini wao (hata kama wengine hawafanyi) wamezuia. Tuma link tuone app zako kaka. Asante

Pakua hiyo game tucheze last card. Hiyo ni app ya mkali kali linux , amesaidia sana kuniunganisha na marafiki zangu walio mbali. 🔥
 

Pakua hiyo game tucheze last card. Hiyo ni app ya mkali kali linux , amesaidia sana kuniunganisha na marafiki zangu walio mbali. [emoji91]
Hizo apps zake zinaingiza Tsh ngapi? Au zimebeba risk kiasi gani kwa watumiaji? Unafananisha draft na financial app mzee? Na wewe wale wale tu. Akasome guidelines za OWASP ndio aanze ubishi
 
Na kama kweli umefanya kazi huko na una huo umri unaosema basi busara yako ilibidi iwe kubwa zaidi ya hapo ilipo kwa sasa.
Una hoja alafu jamaa anavimba kujifanya yeye born town kitambo kumbe anakwepa swali la msingi ulilomuulize, angekua muungwana angejibu swali kwanza alafu mwambafaizeshen zingefuata baadae

Salute kwako walishe vyuma vingine akili ziwakae sawa

404: Page Not Found
 
Sio mbobezi wa haya mambo ila napata shida ku login ktk hii app tangu wai update...nime update lakini inanigomea kuingia. Kila nikiweka nywila napata ujumbe " sorry request failed. Please try again later"
Tatizo ni nn wataalamu...inakera sana
Nenda customer care watakurekebishia au unstall afu omba upya huduma ya sim banking had password utabadilisha
 
acha ujuaji
umetaka link ya app umepewa
sasa umebadili gear angani
wabongo kero sana
Leongo ilikuwa kumrekebisha na kujua kama ashawahi tengeneza financial app za kampuni kama Bank tujue. Hivyo vi app vyake hata user akiruhusu rooting hakuna issue
 
Back
Top Bottom