Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

Mjomba Magu pamoja na roho mbaya yake ya kuwashughulikia live live waliokuwa wanamkosoa, ila mpeni maua yake, CCM acheni roho mbaya - mama kafanya nini zaidi ya kuuza Bandari kwa mwarabu bana.
 
Mjomba Magu pamoja na roho mbaya yake ya kuwashughulikia live live waliokuwa wanamkosoa, ila mpeni maua yake, CCM acheni roho mbaya - mama kafanya nini zaidi ya kuuza Bandari kwa mwarabu bana.
Wewe ndio una roho mbaya na una wivu. Huyo mjomba wako tumpe maua gani Sasa? Hayo yote niliyokueleza hapo ni Samia anafanya sijui wewe huyo mjomba wako alifanya yapi.
 
Unalami na unatumika siku zote ila na videge vidogo ila umekarabatiwa na sasa air tanzania wataanza safari rasmi tanga na pemba
Unaweza kugoogle pia
Hiyo ni airstrip hakuna kitu hapo sawa na Kilwa Airport tuu.
 
Back
Top Bottom