Kipo na air Tanzania wametangaza route za Tanga kuanzia mwezi ujaoAibu Tanga kukosa kiwanja hadi sasa na linaitwa jiji tena lina bandari na viwanda vikubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipo na air Tanzania wametangaza route za Tanga kuanzia mwezi ujaoAibu Tanga kukosa kiwanja hadi sasa na linaitwa jiji tena lina bandari na viwanda vikubwa
Noted ,hii nzuri sana mkuu 👍👍I wish pia wajenge bandari za Meli ...za watalii....
Kigamboni
Kawe
Tanga
Bagamoyo
Lindi
Pangani...
Impact yake itakuwa kubwa
Kina lami au? Maana sijawahi sikia route ya TangaKipo na air tanzania wametangaza route za tanga kuanzia mwezi ujao
La Mikoa isiyo na viwanjaSingida je iko kundi gani
Imeshakamilika mkuuRuvuma pia kuna airport inajengwa
Wewe ndio una roho mbaya na una wivu. Huyo mjomba wako tumpe maua gani Sasa? Hayo yote niliyokueleza hapo ni Samia anafanya sijui wewe huyo mjomba wako alifanya yapi.Mjomba Magu pamoja na roho mbaya yake ya kuwashughulikia live live waliokuwa wanamkosoa, ila mpeni maua yake, CCM acheni roho mbaya - mama kafanya nini zaidi ya kuuza Bandari kwa mwarabu bana.
Naunga mkono hoja 👍👏👏Nice . Ila nikwambie tu kwa case ya morogoro,haiwezi kuwa na uwanja wa ndege kwa matumizi ya uchukuzi wa umma kwa maana tayari morogoro na anga lake ni restricted military airspace.
Chawa ni nani kwani?Binadamu kujiita chawa ni Kukosa heshima kwa Muumba
kazi gani Reli SGR aliyoiacha magu inamdodea bana.Mama yupo kazini
Wewe ndio umedoda ila sio Sgr.kazi gani Reli SGR aliyoiacha magu inamdodea bana.
Kajenge wewkazi gani Reli SGR aliyoiacha magu inamdodea bana.
Singida na njombe usanifu wake umeshakamilika jana mkuu wa tanroads aliongea akiwa iringa kwenye airport yaoLa Mikoa isiyo na viwanja
Ipo boss na uko katikati ya mjini na stendi mpya ya kangeKina lami au? Maana sijawahi sikia route ya Tanga
Una lami? Una tumika?Ipo boss na uko katikati ya mjini na stendi mpya ya kange
Unalami na unatumika siku zote ila na videge vidogo ila umekarabatiwa na sasa air tanzania wataanza safari rasmi tanga na pembaUna lami? Una tumika?
Hiyo ni airstrip hakuna kitu hapo sawa na Kilwa Airport tuu.Unalami na unatumika siku zote ila na videge vidogo ila umekarabatiwa na sasa air tanzania wataanza safari rasmi tanga na pemba
Unaweza kugoogle pia